CHADEMA yazindua Sera Mpya

CHADEMA yazindua Sera Mpya

Mnyika jumbo lako ubungo limekushinda hakuna maendeleo yoyote uliyofanya maneno tu kweli siasa ni uongo tu na huu ndio mwisho wako hatukuchagui tena katafutesha ulime

vp wewe mbunge wako yule mchawi majimarefu jimbon kwenu hali ikoje
 
Hiyo sera imezinduliwa na chadema asili au family?

Mnachekesha sana hivi mnadhani wananchi hawajui 95% uongozi mkuu ni waislamu? ulishaona CDM inapiga kelele?: sio mambo muhimu kuongelea udini na ukabila, Maslahi ya Taifa kwanza.
 
Kama makafiri mnajimudu chagueni viongoz wenu ,msililie wokovu kwa mgongo wa waislam.napita tu

Dini ni moja tu Christianity zingine magumashi tu.dini gani zinahamasisha chuki,vurugu kuoa mitara et al
 
Leo tarehe 01/12/2013 Chama kimezindua rasimu ya sera mpya ya mabadiliko ya Tabia ya nchi. Akizindua Sera hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya Ndani wa Chama Mh. John John Mnyika (Mb) ambaye aliambata na Katibu wa Baraza la Wanawake la Chama Mh. Naomi Kaihula, Afisa wa Sera na Utafiti wa Chama Mh. Mwita Waitara pamoja na Maafisa wengine wa Chama; Mh. Mnyika amesema CHADEMA ndio taasis ya kwanza kuzindua sera hiyo hapa nchini.

“CHADEMA ndio Chama cha kwanza hapa nchini na Afrika kuwa na Sera ya Mabadiliko ya Nchi. Hata serikali yetu pamoja na kuwa Rais na Viongozi wengi wa Serikali wameshashiriki mikutano mingi kuhusu athari za Mabadiliko ya Tabia ya nchi lakini mpaka leo Tanzania haina Sera ya kukabiliana na janga hili” Alisema Mnyika.

Mh. John John Mnyika
Mh. John John Mnyika

Mnyika aliongeza kuwa Rais ameshashiriki mikutano mingi akitolea mfano mkutano wa hivi karibuni uliofanyikanchini Scotland ambapo Rais alihudhuria ukiwa ni mkutanowa 19. Mikutano hiyo inayojulikana kwa jina la CORP imekuwa ikifanyika kila mwaka katika nchi mbalimbali ambapo mwaka juzi ulifanyikia Daban Afrika Kusini, mwaka jana ulifanyikia Doha Qatar na mwaka huu umefanyikia Scotland.

Mnyika ameongeza kuwa kilichozinduliwa leo ni rasimu iliyoandaliwa baada ya kukusanya maoni kwa wadau mbalimbali wakiwemo wataalam wa mazingira na sasa kitakachofanyika ni kukusanya maoni kutoka kwa Watanzania kwa muda wa mwezi mmoja na baadae Sera kamili itazinduliwa.

Sera hiyo inapatikana katika tovuti yetu katika kipengele cha Sera za Chama. Unaweza kuisoma na kutoa maoni yako kwa anuani zinazoonekana katika tovuti yetu au hapa hapa kwenye tovuti

wengine tulijiunga CHADEMA si kwa kufuata mtu, bali sera.



safi sana CHADEMA.

People's Power!
 
Kwavile imezinduliwa kisiasa siasa then itakuwa ni business as usual!! Kulikuwa na sababu gani ya kujigamba kwamba "we're first in Africa" and that pamoja na kwamba Rais ameenda mikutano kibao kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi but still they(CCM) don't have policy in the matter! Sitangaa hapo baadae serikali ikija na sera ya mabadiliko ya tabia ya nchi, Mnyika ataitisha tena Press Conference na kusema "CCM walikuwa hawana sera, wameona CHADEMA tumekuja na sera ya tabia ya nchi, nao sasa wanatuiga," as if ni mashindano ya nani who acts first!! This's less productive African Politics! But all in all, chama hakina sababu za kujigamba kwa kutengeneza sera bali kinatakiwa kujigamba kwa kutekeleza sera kwa mafanikio!!

But all in all mkuu OLESAIDIMU,
Ili kuweza ku-comment chochote kuhusu hiyo sera inabidi kwanza hiyo sera watu waione, waisome, waichambue, waitafakari na kisha ndipo watoe maoni. Unfortunately, sijaiona lakini am certain nitaitafuta tu!!!

Haya kaka,presentation skills au???!!!!!
Degree bado muhimu kwa viongozi!!!!
 
Last edited by a moderator:
nikiwa kama mwamazingira mwenye kusajiliwa na NEMC kama Environment auditor, na EIA expert naipongeza CDM sana kwa hili. ni hatua nzuri na yenye tija kwa nchi hasa kwa wakati huu ambapo mabadiliko ya tabia ya nchi yamekuwa na changamoto sana kwa viumbe wote.
naamini kwenye sera yao basi hawatakaa kimya juu ya threatened plant and animal species, aerosols, open combustion, na environment toxicology.

Dada nawe bhana hebu katupie huko walikoalika wataalamu!!!
 
Vyama siasa vipige siasa,hamna taasisi za mazingira na wataalam mnatatekeleza vipi sera kwanini msimalizie mliyoanzisha kwanza na kueneza chama.

Atakuwa muhafidhina LIssu kajipigia ndefu apige hela dogo yeye mcheza shoo tu na aendelee kuuza nyago.
 
Tuache kugeuza mada hii kuwa ya kidini,

Tujadili sera mpya ya chadema

Huyo kwasababu ni mgalatia mwenzako NA MCHADEMA MWENZAKO unamnasihi kiungwana!

Angekuwa MUISLAMU ndio kaanzisha UDINI UNGETUKANA NA KUTOA KASHFA!
Ni bora ya nyoka mwenye sumu KULIKO MTU MWENYE SURA MBILI!
 
Mapompo power
 

Attachments

  • 1385989827615.jpg
    1385989827615.jpg
    28.7 KB · Views: 45
Khaa!! Bad timings but good idea. Hii single haitauzika. ni sawa na kutoa mbege Mbeya ukaenda kuuza Moshi.
 
Chadema , kinaendelea kujiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa 2015, hii ndio tofauti ya CHADEMA NA CCM kwani CCM mara zote wao wanatumia sera za serikali na kusema ni za kwao kama chama , ndio maana huwezi kuona andishi la sera zao....
 
kazi ya mbunge sio kumwaga pesa ndugu ni kuishauri na kuishinikiza serikali,hivi huyo Mo DEWJI mbunge wa singida mjini katika jimbo lake hakuna watu wanao lala njaa?hacha kutafakali kwa kutumia nywele tumia kichwa na ubongo hongereni chadema watu wanapaswa kuelimishwa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi
 
Sera hii ni ya muhimu sana kwani kama taifa mpaka sasa tumejiweka mazingira hatarishi sana , hizi vita za wakulima na wafugaji, juu ya maeneo ya malisho , itakuwa mbaya sana itakapoanza vita ya aina hiyo kwa ajili ya maji, huku wafugaji wakutana maji ya mifumo yao hata kama ni kwenye vyanzo vya maji na wananchi wengine wakili ad vyanzo hivyo ili wapate maji.

wananchi wa maeneo tambarare au wa Ukanda wa chini ya milima , watanzania kapigwa no na wale wa milimani wakili kiti ndio chanzo cha wao kukosa maji, kutokana na madhara ya Tabia nchi ....hivyo kama taifa lazima tuone hatari hii iliyopo mbele yetu na kuanza mjadala wa kina kuhusiana na hatari hiyo.
 
Vizuri sana.
Chadema inazidi kuonyesha ni kwa namna gani kilivo tofauti na vyama vingine,Kwa kuchambua sera zinazolenga kuleta suluhu ktk Jamii nzima.


Yap! Umenena Mkubwa! Ila wale misukule watakataa tu!
Lakini nawahurumia kwingineko hawajijui kimawazo.
 
Back
Top Bottom