Kama makafiri mnajimudu chagueni viongoz wenu ,msililie wokovu kwa mgongo wa waislam.napita tu
kama makafiri....???!
toa utumwa kwenye ubongo wako!
Kama makafiri mnajimudu chagueni viongoz wenu ,msililie wokovu kwa mgongo wa waislam.napita tu
Mnyika jumbo lako ubungo limekushinda hakuna maendeleo yoyote uliyofanya maneno tu kweli siasa ni uongo tu na huu ndio mwisho wako hatukuchagui tena katafutesha ulime
Hiyo sera imezinduliwa na chadema asili au family?
Kama makafiri mnajimudu chagueni viongoz wenu ,msililie wokovu kwa mgongo wa waislam.napita tu
Leo tarehe 01/12/2013 Chama kimezindua rasimu ya sera mpya ya mabadiliko ya Tabia ya nchi. Akizindua Sera hiyo Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya Ndani wa Chama Mh. John John Mnyika (Mb) ambaye aliambata na Katibu wa Baraza la Wanawake la Chama Mh. Naomi Kaihula, Afisa wa Sera na Utafiti wa Chama Mh. Mwita Waitara pamoja na Maafisa wengine wa Chama; Mh. Mnyika amesema CHADEMA ndio taasis ya kwanza kuzindua sera hiyo hapa nchini.
CHADEMA ndio Chama cha kwanza hapa nchini na Afrika kuwa na Sera ya Mabadiliko ya Nchi. Hata serikali yetu pamoja na kuwa Rais na Viongozi wengi wa Serikali wameshashiriki mikutano mingi kuhusu athari za Mabadiliko ya Tabia ya nchi lakini mpaka leo Tanzania haina Sera ya kukabiliana na janga hili Alisema Mnyika.
Mh. John John Mnyika
Mh. John John Mnyika
Mnyika aliongeza kuwa Rais ameshashiriki mikutano mingi akitolea mfano mkutano wa hivi karibuni uliofanyikanchini Scotland ambapo Rais alihudhuria ukiwa ni mkutanowa 19. Mikutano hiyo inayojulikana kwa jina la CORP imekuwa ikifanyika kila mwaka katika nchi mbalimbali ambapo mwaka juzi ulifanyikia Daban Afrika Kusini, mwaka jana ulifanyikia Doha Qatar na mwaka huu umefanyikia Scotland.
Mnyika ameongeza kuwa kilichozinduliwa leo ni rasimu iliyoandaliwa baada ya kukusanya maoni kwa wadau mbalimbali wakiwemo wataalam wa mazingira na sasa kitakachofanyika ni kukusanya maoni kutoka kwa Watanzania kwa muda wa mwezi mmoja na baadae Sera kamili itazinduliwa.
Sera hiyo inapatikana katika tovuti yetu katika kipengele cha Sera za Chama. Unaweza kuisoma na kutoa maoni yako kwa anuani zinazoonekana katika tovuti yetu au hapa hapa kwenye tovuti
Kwavile imezinduliwa kisiasa siasa then itakuwa ni business as usual!! Kulikuwa na sababu gani ya kujigamba kwamba "we're first in Africa" and that pamoja na kwamba Rais ameenda mikutano kibao kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi but still they(CCM) don't have policy in the matter! Sitangaa hapo baadae serikali ikija na sera ya mabadiliko ya tabia ya nchi, Mnyika ataitisha tena Press Conference na kusema "CCM walikuwa hawana sera, wameona CHADEMA tumekuja na sera ya tabia ya nchi, nao sasa wanatuiga," as if ni mashindano ya nani who acts first!! This's less productive African Politics! But all in all, chama hakina sababu za kujigamba kwa kutengeneza sera bali kinatakiwa kujigamba kwa kutekeleza sera kwa mafanikio!!
But all in all mkuu OLESAIDIMU,
Ili kuweza ku-comment chochote kuhusu hiyo sera inabidi kwanza hiyo sera watu waione, waisome, waichambue, waitafakari na kisha ndipo watoe maoni. Unfortunately, sijaiona lakini am certain nitaitafuta tu!!!
Mkuu @OLESAIDIMU
Hili tatizo ni kwangu tu au na kwa wengine... maana nikifungua hiyo webpage ya sera za chama kinachoonekana ni kama hii screen shop hapachini..
View attachment 124383
nikiwa kama mwamazingira mwenye kusajiliwa na NEMC kama Environment auditor, na EIA expert naipongeza CDM sana kwa hili. ni hatua nzuri na yenye tija kwa nchi hasa kwa wakati huu ambapo mabadiliko ya tabia ya nchi yamekuwa na changamoto sana kwa viumbe wote.
naamini kwenye sera yao basi hawatakaa kimya juu ya threatened plant and animal species, aerosols, open combustion, na environment toxicology.
Thanks for the observationTuache kugeuza mada hii kuwa ya kidini,
Tujadili sera mpya ya chadema
Tuache kugeuza mada hii kuwa ya kidini,
Tujadili sera mpya ya chadema
Mapompo power
nimekosea nini tena ndugu yangu??Dada nawe bhana hebu katupie huko walikoalika wataalamu!!!
Vizuri sana.
Chadema inazidi kuonyesha ni kwa namna gani kilivo tofauti na vyama vingine,Kwa kuchambua sera zinazolenga kuleta suluhu ktk Jamii nzima.