FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Unaposema mazingira ni kubwa kuliko tabia nchi una maana kuwa kila kinachohusiana na mazingira kisiwe na sera yake bali kiwekwe ndani ya sera ya mazingira?
Then tusiwe na kilimo, uvuvi, makazi, nk, bali vyote viwekwe kwenye environmental management, sio?
Wacha kuwa punguani, kasome sera ya Taifa ya Mazingira kabla hujaja kubishana hapa.
Naona hata hujuwi kuwa Tanzania ni nchi moja wapo iliyochaguliwa kufaidika na fedha za ulimwengu za tabia nchi kwa kutunza mazingira.
Soma links nilizoziweka haapo juu. Nyinyi mnaamka leo sisi hiyo tuliifanya sera ya nchi toka 1997, leo ni miaka mingapi vile?