Mkiguswa penye ukweli mnaanza kuporomosha matusi. Waislam acheni kukubali kutumiwa kama KONDOM na wana siasa.
Mlitumika 1995 Kwa kuanzisha chama chenu cha CUF mkazigawa kura za Mrema Mkapa akashinda
Mkatumika 2005 kwa kukimbilia kumchagua Kikwete eti ni mwenzenu, sasa hivi maisha yanawakaanga kama wengine
Mlitumia 2010 kwa kumchagua JK na Lipumba akamsaidia JK kushinda
Mnatumika hata sasa kwa kuisema Chadema vibaya ilhali mnajua ni UONGO, eti Chadema ni chama cha wakristo.
Nyakati zote hizo mnatumika na CCM, MoU inazidi kuboreshwa na sasa ni nono zaidi, Mahakama ya Kadhi itakayogharamiwa na serikali ni ndoto, haitakuja kutokea, Waislam bado mnamadai lukuki dhidi ya unyanyaswaji mnaofanyiwa na Serikali ya CCM.
Kadhi mlioahidiwa 2010 mmefanywa kejeli na dhihaka, hakuna cha kadhi wala baba yake kadhi.
Ijumaaa ni siku ya kupiga mzigo kama kawa hakuna mapumziko wala nini wakati wenzako jumamosi na jumapili ni siku ya kushinda kwenye mabanda ya kitimoto kula na kunywa.....
Endeleeni kutumika kama kondom tu...!
CC
THE BIG SHOW Ritz kahtaan Barubaru gombesugu
faizafoxy
Masanilo Mzito Kabwela