Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.
Jussa hamkumualika?
Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.
sifa gani amewamiminia?
Akitaka kuwajua chadema chumbani na sebureni ajaribu kuutaka urais au uenyekiti wa mbowe na slaa.
Hivi amezungumziaje swala la campaign ya gongo?
Uwepo wa CDM Zanzibar ni symbolic tu kukidhi mahitaji ya katiba ya nchi.
endelea kuamini ujinga cdm itachukua majimbo 8 , 2015 ! Unguja matano , pemba matatu !
Hilo haliwezekani, ni sawa na kumuambia Slaa amkaribishe Zitto kusherehekea mwaka mpya 2014Kurugenzi ya Habari tuwekeeni picha basi tuone makamanda walivyojazana Zanzibar.
Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.
Mkuu umesababisha nipaliwe chai hapa, ...Hahahahaha hii ni sawa na Msigwa kuwa Waziri Mkuu...
Tunaomba picha tuone nyomi basi mkuu
hongera cdm kwa kukipeleka chama kwa wananchi. hii ndio tofauti kati ya cdm na wauza unga na meno ya tembo (ccm).