Chadema twasonga mbele hatujui kurudi nyuma..
Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.
Does it make any difference. The fact remains kwamba kanda imezinduliwa.Hawa jamaa ukiwapa ukweli lazima watokwe povu, huo mkutano utakuwa ulihudhuriwa na watu watatu tu
Sawa kamanda lakini muelewe Zanzibar hawataki habari ya gongo!
Vip taharifa za Ngara juzi ulizipata ama ulikuwa Marekani na wewe?
Chadema ni msingi.
Lisu alisema cdm haiihitaji znz sasa vp leo kalamba matapishi yake
mkutano unafanyikia kwenye ukumbi. sasa unaweza define hapo.Tunaomba picha tuone nyomi basi mkuu
Bravo CHADEMA ukombozi wa fikra uenee kote Bara na Visiwani.
Ndiyo nguzo pekee ya UKOMBOZI kwa Watanzania wote bila kujali ITIKADI za vyama vyao vya kisiasa.Kwa wana Chadema shime tuungane sote tukiwa wenye kunia mamoja,maana saa ya ukombozi sasa imewadia. Tutofautiane kimtazamo lakini katika uhuru na uwazi pasipo kuathiri Umoja wetu ndani ya Chama,kama wengine wanavyokusudia.
CHADEMA ITADUMU KWA AJILI YA WATANZANIA WOTE.