CHADEMA Yazindua Kanda ya Zanzibar

Tundu Lissu alishasema Zanzibar siyo muhimu kwa Chadema kulikoni tena.

Alisema hawahitaji kura za zanzibar hili kwenda ikulu. sasa hivi wanapingana na tamko la mwana sheria wao.
 
Chadema ni kama maji usipokunywa utayaoga, sio bara sio Zanzibar TWENDE KAZI NGUVU YA UMMA.
 
NYOTA MPYA YA UHURU WA ZANZIBAR Imeanza kuwaka kupitia CHADEMA Wanzanzibar acheni siasa za mazoea kipeni ushirikiano mpate mnachotaka.

Bandugu Wanzazibar sio walevi wa gongo. Wenzenu wanaota usiku nyie mnaota mchana. ACHENI KUNYWA VIROBA
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMA kimezindua rasmi kanda ya Zanzibar ya chama hicho.

Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Hamad Yusuf.Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Jamat Khan mjini Unguja.

Viongozi mbalimbali wa mikoa, wilaya,matawi na Makamanda wa chama hicho upande wa Zanzibar walihudhuria.Pia walikuwepo wabunge wa viti maalum Zanzibar.

Akizungumza katika uzinduzi huo Naibu Katibu Mkuu huyo aliwataka wanachama wa chama hicho kushikamana na kuzidi kuisimika Chadema Zanzibar.

Pia Kiongozi huyo aliwamiminia sifa viongozi wakuu wa chama hicho Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa kwa kazi kubwa wanayofanya huku akisema viongozi hao wamekuwa kama Nembo ya chama hicho.

Uzinduzi huu wa Kanda ya Zanzibar umefanyika baada ya kukamilika zinduzi za Kanda za Tanzania Bara.

Wanawajua kama ni wakabila
 
Cdm hiyoooooo... To white house in 2015-hili ni `anikwepabo'!

Wale wa buku7 wanaokataa wakamuulize mkuu wao wa kaya, kikwete.
 
Back
Top Bottom