CHADEMA yazidi kusambaratisha CCM Ukonga.....

CHADEMA yazidi kusambaratisha CCM Ukonga.....

CCM wengi wameenda kuchukua kozi ya kubaka na kurubuni vitoto vya school.

Lema ana kesi ya kubaka, yet kaliwa witi. Hivi kwanin chadema inamuacha uyu mtu inapambana na zitto?
 
Hatua kuimarisha chama ni kumuondoa Zito kibaraka wa CCM, JackZoka na Ighondu!!
 
mwenye sumu ni ben saa nanane mimi na sumu wapi na wapi.
Ha ha ha!!!! umekurupuka kujibu. fuatilia aliyosema mzee baada ya kutuma benzi kwa watoto. ndugu yangu hakuna dhambi kubwa kama mtu mzima na mwelewa kama wewe kujifanya hujui. ya Saanane tuyaache. tujadili yaliyopo hapa
 
Kumbe habari yenyewe imetoka Tanzania Daima.
 
Dah huyu naye katoa mtazamo wakikampeni kweli daah.............?yale yale ''too long to go''.
 
CCM viongozi wao wanabaka wanafunzi na kuwaambukiza ukimwi, CHADEMA wao wanakomboa nchi kwa style ya mwendo mdundo!!
 
TAYADI hii kuchukuwa matofali manne, kusakafia sehem, then tunachukua lile li bendera kuchomeka na kuanza kupost picha za uzinduzi wa matawi nafaamu sana huo mchezo.

Bora msiwe na bendera ila mkawa na wanachama.
Swali langu ulipokuwa unazindua matawi ulikuwa na akili timamu? Au Zitto amekufanya uwe "awakened" kama Founder of wa dini ya ki - Buddha na kuona yale uliyokuwa unafanya ni ya kishetani.
 
Chadema wakishasakafia matofali mawili na kuweka bendera wao wanaita matawi. Matawi ni wanachama sio bendera.
mkuu, hata wanachama si kitu sana bali jambo muhimu ni watu kukubaliana na sera zake na kukiunga mkono maan wakati wa uchaguzi kura hupigwa na wanachi yaani wanachama na wasio wanachama
 
Uchaguzi ukikaribia matawi yanafunguliwa kwa wingi! Hongera sana, najivunia Kuwa mwanachama hai wa CDM, lakini tatizo baada ya uchaguzi ofisi zinafungungwa na ni nyingi tu hasa mikoani, ukiuliza hakuna pesa ya kuendeshea, Ruzuku hazifiki huko, waambieni wavumilie kidogo balance tuliyokuwa nayo ya ml. 80 tumeagiza card China.

Body without head
 
Kwani uchaguzi wa CDM unafanyika kila siku? Maana kila siku nasikia viongozi wapya wanachaguliwa!
 
Lema ana kesi ya kubaka, yet kaliwa witi. Hivi kwanin chadema inamuacha uyu mtu inapambana na zitto?
mkuu wewe ni mfuasi wa zitto au lema? Au chadema au ccm? Maana naona ufuasi wa watu hapa badala ya taasisi!
 
Back
Top Bottom