Communist
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 5,400
- 1,186
Akili fupi, kwa hiyo matofalia yalifanya uchaguzi?Chadema wakishasakafia matofali mawili na kuweka bendera wao wanaita matawi. Matawi ni wanachama sio bendera.
Akili fupi, kwa hiyo matofalia yalifanya uchaguzi?Chadema wakishasakafia matofali mawili na kuweka bendera wao wanaita matawi. Matawi ni wanachama sio bendera.
hakuna mtu mwenye akili zikosawa ataweza kutamani cdm wewe pengine umevurugwa tu.
mnatumia mifagio au madekio make ukonga ni kubwa mkuu.
Huyu kuku wa kisasa naye bado anahangaika pole kuku lakini kumbuka kitanda ulichokitandika utakitandua tu kwa akili za lema,mbowe na slaa chadema kipo wazi kuwa ni chama cha kilaghai.
kwa dhambi mlizo nazo chadema hakuna mtanzania atakayewapokea kwa sasa nyie piganeni matofari na mchakachue katiba ili mkatalie madarakani ila kwa watanzania msahau.
http://www.mpekuzihuru.com Vita Kal...u pamoja na mambo ya richmond kagoda na IPTL?
taifa linavijana wehu hili huwezi kuamka na popote kichwani huku umevuta bangi halafu ukawa na michango mizuri.
Wewe ulaghai umeacha lini? Nani atakuamini?
R.i.p chadema
Nani atafute chama cha shetani na walaghai mlianza na shetani mtamaliza na shetani mtakoma tu.
Kweli wewe unawazimu wa kukwama kimaisha......
Jiliwaze tu! hata utishie kunywa sumu kama Kapuya hamuachwi mwaka huu.kwa dhambi mlizo nazo chadema hakuna mtanzania atakayewapokea kwa sasa nyie piganeni matofari na mchakachue katiba ili mkatalie madarakani ila kwa watanzania msahau.
Kweli wewe unawazimu wa kukwama kimaisha......
chama chenu cha kihuni na ulahgai hakiwezi kudumu hata kama mtakibeba mgongoni ni cha cha kilaghai balaa.
Jiliwaze tu! hata utishie kunywa sumu kama Kapuya hamuachwi mwaka huu.
Mbona kwenye Ile thread ya Mbakaji Kapuya na Jangili kinana hamuonekani.......Umeamua kuja kupumulia hapa......Tunaenda na nyinyi sambamba..
Mpaka nakuonea huruma hakika...
mwenye sumu ni ben saa nanane mimi na sumu wapi na wapi.
utawezaje kutuona wakati umevurugwa sana.
Sihitaji huruma kutoka kwa mwehu kama wewe