habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
CDM kila siku utasikia uchaguzi mi sielewi hata kidogo maana Kama chama lazima kiwe na calendar ya uchaguzi! Yaani nyie CDM mnaendeshwa kwa matukio!Uchaguzi ukikaribia matawi yanafunguliwa kwa wingi! Hongera sana, najivunia Kuwa mwanachama hai wa CDM, lakini tatizo baada ya uchaguzi ofisi zinafungungwa na ni nyingi tu hasa mikoani, ukiuliza hakuna pesa ya kuendeshea, Ruzuku hazifiki huko, waambieni wavumilie kidogo balance tuliyokuwa nayo ya ml. 80 tumeagiza card China.
Body without head
CDM wana jipambanua Kama chama cha demokrasia kumbe wapi! Kuna mambo mengi inabidi mjifunze toka kwa CCM!
Ofisi za CDM ni za muda tu yaani za matukio tu! Yaani ukikaa chini ukatafakari hupati majibu kwa mfano Iramba hawana Mwenyekiti, hata viongozi wa Jumuiya hawana wanataka kumng'oa Mwigulu kwa nguvu toka DSM? Yaani akili zao wanazijua wenyewe! 2015 hamtaamini kitakachotokea tuombe uzima!