Unakiabudu chama cha Msalani? Chama Cha mafisadi, chama magaidi, chama cha majizi, chama cha majambazi.....Nani atafute chama cha shetani na walaghai mlianza na shetani mtamaliza na shetani mtakoma tu.
Unakiabudu chama cha Msalani? Chama Cha mafisadi, chama magaidi, chama cha majizi, chama cha majambazi.....Nani atafute chama cha shetani na walaghai mlianza na shetani mtamaliza na shetani mtakoma tu.
Kuwa mwehu si lazima uwe Milembe!... Umesema wewe ulikuwa mtu muhimu ndani ya CHADEMA.. Ulipokuwa unafanya hayo ulikuwa na akili timamu au ulikuwa unaongozwa na elimu ya minyoo? Grievances zako zilikuwa hizi au utetezi kwa zitto? kilichokupeleka CCM ni nini?
Wewe uko CCM pilipili usiyoila inakuwashia nn? Zitto anawa_ _ _?Lema amekinajisi hiki chama.
Mbona humwambii Zitto aondoke?Daima mtu mwelevu akili safari anayoenda inaongozwa na kenge wakati yeye ni mamba lazima atajiondoa kwenye hiyo safari inayoongozwa na kenge na kuwaacha kenge waendelee kivyao.
umezidi kuwa mnafiki! tuliaChadema wakishasakafia matofali mawili na kuweka bendera wao wanaita matawi. Matawi ni wanachama sio bendera.
Huoni kuwa wewe ni BOYA linalopelekwa na upepo?TAYADI hii kuchukuwa matofali manne, kusakafia sehem, then tunachukua lile li bendera kuchomeka na kuanza kupost picha za uzinduzi wa matawi nafaamu sana huo mchezo.
Bora msiwe na bendera ila mkawa na wanachama.
umezidi kuwa mnafiki! tulia
Huoni kuwa wewe ni BOYA linalopelekwa na upepo?
ame chaguliwa kapuya........silly
wewe ni janga unampenda mwanamume mwenzio mpaka unajitesa kujichagulia cha kusoma?Aka kagazet ka tanzania daima siku hizi sikasomi tena kinaripot habari za upendeleo na udaku mwingi. ni kagazeti ka kufungia vitumbua au pweza, wengine wanachimbia dawa tz daima
Wewe ulaghai umeacha lini? Nani atakuamini?Chadema amkeni acheni ulaghai.
Zitto afunguka; tofauti na Lema chanzo ni posho na matumizi ya ruzuku
Hali imekuwa tete ndani ya CHADEMA huku Zito akiweka wazi kuwa ugomvi wake na Lema umetokana na msimamo wake juu ya suala la posho na kishupalia ukaguzi wa ruzuku za vyama vya siasa. Amezidi kufunguka kupitia Radio Clouds iliyomhoji akiwa DSM Mwl Jk International Airport kuwa amemshangaa Lema kumgeuka Zito ambaye alimpokea Chadema akitokea TLP, leo hii anajifanya ni mwasisi wa CDM. Pia Zito amemshangaa Lema kwa kujiunga na wabunge wa CCM na kuamua kumshutumu Zito kutokana na suala la posho. Amezidi kukishangaa chama chake haswa mwenyekiti wa mkoa DSM kumshutumu Zito kupitia mtandao huko ni kukidhoofisha chama wakati ambapo ilitakiwa kujiimarisha tukielekea uchaguzi 2014. CDM inatakiwa kujitathmini na kuchukua hatua!
wewe umetoka shamba?Kumbe CHADEMA wapo 'MCHELEMCHELE!!"Ukamanda kusney.
Mbona humwambii Zitto aondoke?
Mtetea, wewe kazi yako ni kutaga, huku sio saizi yako
walaghai mpoo!Wewe akili yako ni sawa na jina lako
wewe umetoka shamba?
walaghai mpoo!
Kwa mambo ya lema chadema inapoteza hadhi ya kuwa na watz
http://www.mpekuzihuru.com/2013/10/chadema-wasalitiana-na-kufukuzana mbowe apigwa ngumi baada ya kudaiwa kuiba milioni 80 za chama