CHADEMA yazidi kusambaratisha CCM Ukonga.....

CHADEMA yazidi kusambaratisha CCM Ukonga.....

Aka kagazet ka tanzania daima siku hizi sikasomi tena kinaripot habari za upendeleo na udaku mwingi.

ni kagazeti ka kufungia vitumbua au pweza, wengine wanachimbia dawa tz daima

mkuu hili gazeti wandishi wake sijui walisoma chuo gani huandika habari utadhani wameambiwa andikeni hivvi kweli linafaa kufungia mandazi na vitumbua.
 
naona unapambana utazani umetumbukiziwa kidole povu la nini ni buku 7 ndo zinakutesa hivi........idiot
Huyu kuku wa kisasa naye bado anahangaika pole kuku lakini kumbuka kitanda ulichokitandika utakitandua tu kwa akili za lema,mbowe na slaa chadema kipo wazi kuwa ni chama cha kilaghai.
 
Chadema wakishasakafia matofali mawili na kuweka bendera wao wanaita matawi. Matawi ni wanachama sio bendera.
Kuwa mwehu si lazima uwe Milembe!... Umesema wewe ulikuwa mtu muhimu ndani ya CHADEMA.. Ulipokuwa unafanya hayo ulikuwa na akili timamu au ulikuwa unaongozwa na elimu ya minyoo? Grievances zako zilikuwa hizi au utetezi kwa zitto? kilichokupeleka CCM ni nini?
 
Kama tawi ni vitambaa ni kweli lakini kama ni watu ni uongo mtupu
 
naona unapambana utazani umetumbukiziwa kidole povu la nini ni buku 7 ndo zinakutesa hivi........idiot

taifa linavijana wehu hili huwezi kuamka na popote kichwani huku umevuta bangi halafu ukawa na michango mizuri.
 
Huyu kuku wa kisasa naye bado anahangaika pole kuku lakini kumbuka kitanda ulichokitandika utakitandua tu kwa akili za lema,mbowe na slaa chadema kipo wazi kuwa ni chama cha kilaghai.
CCM umefuate sera au umemfuate JK? CDM unatafuta nini au mpaka ZITTO awe mwenyekiti.
 
CCM umefuate sera au umemfuate JK? CDM unatafuta nini au mpaka ZITTO awe mwenyekiti.
Nani atafute chama cha shetani na walaghai mlianza na shetani mtamaliza na shetani mtakoma tu.
 
wewe ulishaona wapi chama wanapigana ngumi na matofari kwenye vikao halafu kiwe chama haiwezekani.
 
Kuwa mwehu si lazima uwe Milembe!... Umesema wewe ulikuwa mtu muhimu ndani ya CHADEMA.. Ulipokuwa unafanya hayo ulikuwa na akili timamu au ulikuwa unaongozwa na elimu ya minyoo? Grievances zako zilikuwa hizi au utetezi kwa zitto? kilichokupeleka CCM ni nini?

TAYADI hii kuchukuwa matofali manne, kusakafia sehem, then tunachukua lile li bendera kuchomeka na kuanza kupost picha za uzinduzi wa matawi nafaamu sana huo mchezo.

Bora msiwe na bendera ila mkawa na wanachama.
 
Last edited by a moderator:
Mnadhani CCM ina watu? CCM inawafuasi wa CUF wanaomsapoti JK na 2015 kurudi kwenye chama chao.

wewe tumika na kutumiwa tu ila mwisho wako waja hata ufanye nini hiyo ajila ya mda ya kuteka watu lazima ikome.
 
Back
Top Bottom