BJEVI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 1,359
- 251
kwa mtu mwenye akili CDM inakuja kwa kasi ya ajabu na ccm msipojipanga kwa siasa safi,mtambuka na zenye ueledi.2015 MTALIJUA JIJI.
Mkuu Mwita Maranya ongeza juhudi kule Serengeti manake naona Manchila hali si hali bali muhali!
. MMCCM ndiyo waliopoteza zaidi, maana chadema walikuwa wanatetea kata mbili wakaongeza zingine nne. CCM walikuwa wanatetea kata 20 wakapata 16 wamepoteza nne
Mkuu Kimbunga habari za siku nyingi? bila shaka ulikuwa unaska tonge. Kwa Manchira kilichotokea kiliripotiwa hapa bila chenga, we nenda kule kwenye sub forum ya chaguzi ndogo uone jinsi DC na polisi walivyoshirikiana kutuhujumu.
Lakini kwakuwa 2015 tutakuwa wenyewe hakutakuwa na Gachuma wala Mirumbe basi ni hakika kuwa tutaipukutisha ccm kuanzia kwenye halmashauri hadi bungeni.
CCM ndiyo waliopoteza zaidi, maana chadema walikuwa wanatetea kata mbili wakaongeza zingine nne. CCM walikuwa wanatetea kata 20 wakapata 16 wamepoteza nne