Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
Mkuu Mungi hii kata ya Bashnet nani diwani mpya wa Chadema?yule Tara aliyehamia au kuna mwingine?Asante sana kwa analysis mkuu!
Hii inaonyesha ccm inazidi kukataliwa na watanzania!
Rekebisha hapo juu mkuu;
Bashnet - Babati
Dongobesh - Mbulu
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Halafu unamfaham wa dongobesh anaitwa nani?