Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,462
- 7,248
CCM ndiyo waliopoteza zaidi, maana chadema walikuwa wanatetea kata mbili wakaongeza zingine nne. CCM walikuwa wanatetea kata 20 wakapata 16 wamepoteza nne
Magamba siujui nani kawaroga!!! hawataki kabisa kukubali....kweli sikio la kufa...