CHADEMA yazidi kumeguka...!

mfamaji hakosi kutapatapa, mtaji wa chama ni wanachama na kama wanapuputika mtaji utabaki ni majungu kwenda mbele.
 

CCM imepitiliza na kuwa kama kumbakumba isiyo kuwa na chujio.
 
Ala mi nilijua ameondoka kwa hoja ya msingi KUMBE SHIDA YAKE NI NJAA.Nampa pole sana huyu kipofu wa kifikra HAJUI YA KUWA CCM MTAJI WAO NI SHIDA ZA WATU!
 
Hatima yake itakuwa nzuri tu maana mie SIKONGE ndiyo nitamchukua kutoka kwenye mikono ya Mwigulu......

From dat day, I won't let any Man touch my Sugar Bum Bum, Juliana Shonza

Mama katibu mwenezi wa kata nae unaita pigo kubwa !!!? Wewe subiri mwakani uone kazi. Yatakupata ya Arusha. Hofu yangu ni hatima yako baada ya mwaka2015 CCM itakapokuwa imezikwa rasmi maisha yako yatakuwaje, kaa chonjo saa mbaya.
 
Last edited by a moderator:

Juliana -
That you are a politician must be quite an accomplishment for a person of your calibre. Your childish utterances are merely political verbal diarrhea from a most foul , immature, insensitive turn-coat.
Grow up! Juliana Shenzi is more likely than ever a fitting accolade you ought to revert to.
What is marked red is a punch under the belly so typical of bonkers like you. A very ugly rant.
 

wewe Gefu inaonekana hauijui chadema unaisoma magazetini. ungeijua usingetoa kejeli kama hii. au siku ukifikwa na tatizo halafu ukasaidiwa na watu usiowategemea badala ya chadema ndo utaelewa. kwa sasa endeleza uzuzu wako
 
nashukuru kwa maneno yako yenye kutia faraja.,hawa watu ni wa ajabu sana..,haya ni matatizo ya kutumia vinywaji vyenye vileo vikali kisha wanaandamana kwenye jua kali..akili zao ni za hovyo sana.

Wewe ndo una akili isiyo ya hovyo? I thought you had better brain to stop being used like co.ndom...... Grow up young lady. By the way when did you attain your menarche??
 

Shibuda je? Amemtosa?
 
Njaa mbaya kwelikweli!

Tunawaomba wote ambao wamekuja CHADEMA ili kutafuta ulaji au kusaidiwa matatizo yao ya kiuchumi wajitoe mapema watuachie chama chetu.

Wakati sisi tunatoa hela zetu mifukoni kujenga chama,nyie mnawaza kutajirika kupitia hicho hicho chama!
Tupisheni na wasalimieni majangili,wezi,magaidi na mafisadi wenzenu wote wa ma-CCM.

SHAME ON YOU!
 
Kila mda unafikilia kulala. Vipi bundi wa ccm pia huwa unalala nao?
 
mkutano wenyewe hata watu mia hawakufika,nlivyosikia kuna mkutano wa maganda nkamua niende nikashudie kama wanakubalika nenda pale nusu ya wahudhuriaji ni viongozi na walio hama toka cdm kwenda ccm hata watano hawazidi,cjui huko ndo kudhoofika kwa cdm.
 

Ukiona mtu anatoka Chama cha upinzani na kujiunga na CCM huyo hakuwa mpinzani ila njaa ndo ilikuwa yamsumbua. Juliana Shenzi na akili zako zote na wewe uanataka kujiita mwana mageuzi na unashabikia watu watoke upinzani kwenda magambani kwa maisha yapi? Jitambue unadharaulika sana
 
mods hii inadhalilisha Jukwaa..,kama mnafikiri inanidhalilisha mimi tu endeleeni kuwaacha hawa watu kisha mtaona mwisho wake. Ondoeni hawa wapuuzi humu.

Hii inakudhalilisha wewe mwenyewe mbona kila siku wamuita Dr.Slaa Babu kwa kumdhalilisha ukiwa humaanishi lini umemwita , JK , Msekwa , Kinana , Wassira na wengine kibao Babu ? Na hao ndiyo mababu hasa lakini hawakai na wajukukuu nyumbani .
 
Hv juliana umeacha kuuza k?hata post zako inaonyesha,pamoja na familia kukukuweka chini,inaonekana kujiuza ww ni inborn!
 
Hv juliana umeacha kuuza k?hata post zako inaonyesha,pamoja na familia kukukuweka chini,inaonekana kujiuza ww ni inborn!

Duh !!! Makubwa haya na huko nako yuko ? Nilimuona UK kabla ya kutimliwa akiwa anatanua ila sikujua kama ilikuwa ni mambo haya .
 
JULIANA SHONZA nimekuuliza hapo awali,je, katiba ya CDM ina cheo cha KATIBU MUENEZI KATA au huyo kibaraka wako anajipachikia cheo kisichotambulika kikatiba ilimradi tu isemekane ni kiongozi wa CDM? Naomba jibu plz....
 

Haya yote wewe mke mdogo wa savimbi umejitakia mwenyewe usaliti wako ndio umekuponza leo hii unaona tamaa jinsi CDM inavyo paa anga sasa inakubidi upambane uwezavyo kuleta habari hata kama haina tija kwa wana jf ila wewe unacho angalia upate buku 7,000/= pole sana na kufika 2014 na 2015 ndio umekwisha kisia wewe na savimbi ndio kakutema baada ya kuona mzigo hauna radha subiri kutumika na mizee ya magamba ila CDM itazidi kuwa imara daima.
 
shonza mamaa.. utajutia sana kuhama chadema na nakueleza huo ndo mwisho wako wa siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…