CHADEMA yawasha moto Ukerewe

Asante sana mkuu
Huna akili

Nakatwa kodi kwenye mshahara wangu kila mwezi..... millions.

Unadhani hiyo fedha inatoka ccm?

Usiwe mpumbavu, ruzuku ni kodi za watanzania wote
Wapinzani
Ccm
Wasio na vyama
Nk
 
Mabadiliko ya upepo wa CCM kuvuma kwa upande wao maeneo yetu ya Same na Mwanga , kama hali hiyo ndio ipo pande zingine za Tanzania , nakwambia MKAZE SANA MSAMBA. Na hii ikuhusu sana ndugu yangu Erythrocyte na Chadema yote.

Upepo umebadilika sana. Na namwambia Mshana uje uone moto huku Mwanga, kama Jimmy tulishindwa kumyoa 2015, safari hii hata tukipewa light weight atatusumbua.
Wenzako wanaweka hata kapicha wewe mwenzetu unatia maneno matupu
 
Ccm ndo chama pekee kinachopewa nafas ya kuonekana kwa wananchi hadi hivi sasa hivyo n baki wewe ujiaminishe hivyo maana ndo chama unachokiona lakini utakapofika muda vyama vyote vipo huru kujinadi kwa wananchi utakapogundua hii taarifa yako ulikurupuka tu unapaswa ujaji mambo km uwanja wa mapambano upo sawa.
Mabadiliko ya upepo wa CCM kuvuma kwa upande wao maeneo yetu ya Same na Mwanga , kama hali hiyo ndio ipo pande zingine za Tanzania , nakwambia MKAZE SANA MSAMBA. Na hii ikuhusu sana ndugu yangu Erythrocyte na Chadema yote.

Upepo umebadilika sana. Na namwambia Mshana uje uone moto huku Mwanga, kama Jimmy tulishindwa kumyoa 2015, safari hii hata tukipewa light weight atatusumbua.
 
Back
Top Bottom