Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,654
- 8,586
Mwache ajiliwaze.Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
Mwache ajiliwaze.Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa mwanza
CDM haiwezi kuchukua Nyamagana wala Ilemela mkuu mi ndo nakupa uhalisia.Ni uchaguzi wako sasa kukubali au kupinga.kila siku siyo jumapili
Haya.hatujajiandaa CCM.... tuna makundi. tutahujumiana wao kwa wao.. mnufaika ni wapinzani!
Too late ! jimbo lilishachukuliwa kabla hujaamka .Mwache ajiliwaze.
Oktoba sio mbali.Too late ! jimbo lilishachukuliwa kabla hujaamka .
Endelea kula kwa shemejiWewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Ukipenda vyote..Kwa haki au dhuluma?
Chakubanga anamla jichoHilo ni vuvuzela tu linaelekezwa nini cha kupost na chakubanga
Tumbueni ruzuku mwisho mwisho
Chakubanga anamla jicho
Huna akili
Nakatwa kodi kwenye mshahara wangu kila mwezi..... millions.
Unadhani hiyo fedha inatoka ccm?
Usiwe mpumbavu, ruzuku ni kodi za watanzania wote
Wapinzani
Ccm
Wasio na vyama
Nk
Wee ndio unagawa majimbo?Chadema haiwezi kuingia kupata jimbo tena mkoa wa Mwanza
Lakini si ndo ukweli mkuu!?Hii msg huwa una copy na ku paste? Naiona kwenye kila thread!
Hawajaungua na huo moto?View attachment 1490367
Ikumbukwe kwamba hili eneo ni moja kati ya ngome imara mno ya Chadema kanda ya ziwa .
Ndio sababu wanasema hizo akaunti ni za robotsLakini si ndo ukweli mkuu!?
Wenzako wanaweka hata kapicha wewe mwenzetu unatia maneno matupuMabadiliko ya upepo wa CCM kuvuma kwa upande wao maeneo yetu ya Same na Mwanga , kama hali hiyo ndio ipo pande zingine za Tanzania , nakwambia MKAZE SANA MSAMBA. Na hii ikuhusu sana ndugu yangu Erythrocyte na Chadema yote.
Upepo umebadilika sana. Na namwambia Mshana uje uone moto huku Mwanga, kama Jimmy tulishindwa kumyoa 2015, safari hii hata tukipewa light weight atatusumbua.
Mtumwa uyoHilo ni vuvuzela tu linaelekezwa nini cha kupost na chakubanga
Mabadiliko ya upepo wa CCM kuvuma kwa upande wao maeneo yetu ya Same na Mwanga , kama hali hiyo ndio ipo pande zingine za Tanzania , nakwambia MKAZE SANA MSAMBA. Na hii ikuhusu sana ndugu yangu Erythrocyte na Chadema yote.
Upepo umebadilika sana. Na namwambia Mshana uje uone moto huku Mwanga, kama Jimmy tulishindwa kumyoa 2015, safari hii hata tukipewa light weight atatusumbua.