Kwani leo umenywesha dawa gani mbona unaandika mambo yako ya ndani!Nitahakikisha unapona maana unamtia hasara shemeji yako kwa kuiba kuku wake na kuwauza ili ukanunulie kimpumu
Kweli chadema nimpango wa Mungu
Safari hii naomba membe akagombee cuf asituharibie kura zetu.
Naona dawa inawaingia taratibu sasa
Korosho awapati kura kusini,polisi wanaweza wasaidia chaguzi za marudio na sio chaguzi kuu sababu awatoshi.labda tupige kura kimafungu mafunguWana kusini wana hasira sana na chama chakavu, just imagine hao ni wana wake ambao kimsingi walikuwa waoga wa mageuzi.
Kweli chadema imekufa mbona ukumbi wenyewe umejaa wanawake watupuKama bado watu wanao dhania cdm imefutika kisiasa basi huyo yupo kwenye usingizi wa samaki pono.
Huu hapo ni mkutano wa ndani wa wana chadema mkoani lindi tarehe 19.6.2020, jambo ambalo ilikuwa ni ngumu sana kuwaona kina mama wakiipenda cdm kipindi cha kuanzia miaka ya 2015.
Mungu endelea kuipigania cdm maana wewe ndiye mpangaji wa yoote hapa duniani. View attachment 1485359
Masikini kwisha kabisa yaani ni kuwa sasa ni mwendawazimu kamili!Tuliza mshono wewe
Korosho awapati kura kusini,polisi wanaweza wasaidia chaguzi za marudio na sio chaguzi kuu sababu awatoshi.labda tupige kura kimafungu mafungu
Ni kufuatia mipango ya yesu wenu kututangazia kuwa cdm lazima ife kabla ya uchaguzi w 2020, maana anaiogopa cdm kuliko coronaSasa hv Binamu kila mwana Chadema anasisitiza Chadema haijafa na haitokufa. nyakat kama hizi 2010 na 2015 hoja ilikuwa inachukua dola au haichukui, issue ya kufa au kutokufa haikuwepo kabisa
Rai wa Sudan wanajitambua sio kama mazezeta wa bongoHata Sudan walikuwa wana ndoto kama zako lkn kilichotokea ulikisikia