Kama bado watu wanao dhania CHADEMA imefutika kisiasa basi huyo yupo kwenye usingizi wa samaki pono.
Huu hapo ni mkutano wa ndani wa wana CHADEMA mkoani Lindi tarehe 19.6.2020, jambo ambalo ilikuwa ni ngumu sana kuwaona kina mama wakiipenda CHADEMA kipindi cha kuanzia miaka ya 2015.
Mungu endelea kuipigania CHADEMA maana wewe ndiye mpangaji wa yoote hapa duniani.
View attachment 1485359
Wooooo! Hii ni hatua ya juu kabisa ya Chama kufutika. Ukiona unaanza kutamani picha za zamani jua sasa hakuna kituKama bado watu wanao dhania CHADEMA imefutika kisiasa basi huyo yupo kwenye usingizi wa samaki pono.
Huu hapo ni mkutano wa ndani wa wana CHADEMA mkoani Lindi tarehe 19.6.2020, jambo ambalo ilikuwa ni ngumu sana kuwaona kina mama wakiipenda CHADEMA kipindi cha kuanzia miaka ya 2015.
Mungu endelea kuipigania CHADEMA maana wewe ndiye mpangaji wa yoote hapa duniani.
View attachment 1485359
Usiwe mjinga picha za 2014/2015 hizoMiaka5 hakuna mikutano ya siasa umati hivi, ingelikuwa mikutano ipo tangu 2015, ingelikuwaje?
Teh teh teh ila ndo hivo kura hazitatoshaa..Miaka5 hakuna mikutano ya siasa umati hivi, ingelikuwa mikutano ipo tangu 2015, ingelikuwaje?
Mimi siyo mjinga, tusi sijalipenda, let me spare you today! Nipe ushahidi please!Usiwe mjinga picha za 2014/2015 hizo
Hivi huyu alikuwa CDM? Naomba unikumbushe please. Alikuwa na nafasi gani ya uongozi.Wewe ulifukuzwa cdm kwa wizi
Sakata la Korosho litawatesa sana CCM kusiniKama bado watu wanao dhania CHADEMA imefutika kisiasa basi huyo yupo kwenye usingizi wa samaki pono.
Huu hapo ni mkutano wa ndani wa wana CHADEMA mkoani Lindi tarehe 19.6.2020, jambo ambalo ilikuwa ni ngumu sana kuwaona kina mama wakiipenda CHADEMA kipindi cha kuanzia miaka ya 2015.
Mungu endelea kuipigania CHADEMA maana wewe ndiye mpangaji wa yoote hapa duniani.
View attachment 1485359
Polisi walikuwa wamelala? Wagekuwa macho wangesambaratisha mkutano kwa kisingizio cha Korona!Kwa kuongezea tu, huo ukumbi ulijaa mpaka watu wengine walikaa nje kufuatilia huo mkutano.
Sema hapo mpiga picha hakupiga/hakukaa kwenye angle nzuri tu, angekaa mbele ya hilo jengo angeweza kuwachukua mpaka watu walio nje ambao walishindwa kuingia ndani kutokana na uwingi wa watu.