Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kama bado watu wanao dhania CHADEMA imefutika kisiasa basi huyo yupo kwenye usingizi wa samaki pono.
Huu hapo ni mkutano wa ndani wa wana CHADEMA mkoani Lindi tarehe 19.6.2020, jambo ambalo ilikuwa ni ngumu sana kuwaona kina mama wakiipenda CHADEMA kipindi cha kuanzia miaka ya 2015.
Mungu endelea kuipigania CHADEMA maana wewe ndiye mpangaji wa yoote hapa duniani.
Huu hapo ni mkutano wa ndani wa wana CHADEMA mkoani Lindi tarehe 19.6.2020, jambo ambalo ilikuwa ni ngumu sana kuwaona kina mama wakiipenda CHADEMA kipindi cha kuanzia miaka ya 2015.
Mungu endelea kuipigania CHADEMA maana wewe ndiye mpangaji wa yoote hapa duniani.