chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, jana kimevuna wanachama wengi katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika Mjini Itigi, JImbo la Manyoni Magharibi. Leo Chama hicho kinatarajia kufanya mkutano mkubwa Manyoni mjini.
Mikutano hiyo inahutubiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Vijan a wa Mkoa huo Ndugu Josephat Isango, huku akiwaasa wananchi wa Mkoa huo kumpuuza Mkuu wa Mkoa huo kwa agizo lake alilosema wananchi wa mkoa huo wasilime mahindi.
"Limeni Mahindi wananchi, ninyi mnajua hali ya hewa ya mkoa wenu tangu zamani, mnajua udogo unavyostawisha mahindi, kauli ya mkuu wa mkoa haina tija katika maisha yetu ipuuzeni...amekuwa akiwaasa wananchi hivyo. Hata hivyo kinachoonekana kama mashindano, Mikutano ya Mkuu wa Mkoa huyo haipati watu isipokuwa watoto, ila kamanda anafunika ile mbaya.. viva CHADEMA!
Mikutano hiyo inahutubiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Vijan a wa Mkoa huo Ndugu Josephat Isango, huku akiwaasa wananchi wa Mkoa huo kumpuuza Mkuu wa Mkoa huo kwa agizo lake alilosema wananchi wa mkoa huo wasilime mahindi.
"Limeni Mahindi wananchi, ninyi mnajua hali ya hewa ya mkoa wenu tangu zamani, mnajua udogo unavyostawisha mahindi, kauli ya mkuu wa mkoa haina tija katika maisha yetu ipuuzeni...amekuwa akiwaasa wananchi hivyo. Hata hivyo kinachoonekana kama mashindano, Mikutano ya Mkuu wa Mkoa huyo haipati watu isipokuwa watoto, ila kamanda anafunika ile mbaya.. viva CHADEMA!