Kwa huu umati kwakweli nina kila sababu wa kuwaonea huruma ccm.
Inaniuma lakini RIP CCM
View attachment 144514Kamanda wa anga Freeman Mbowe akamua...
Uchaguzi upo mjini au kalenga maana bangi ni tatizo kwa CHADEMA
Mwembetogwa, Iringa mini leo. Mwenyekiti amechora mstari na kuweka msimamo wa Chama juu ya version ipi ya daftari la wapiga kura itumike. Amesema Chadema inatambua version ya 2009/2010 ambayo nayo ipo kinyume na sheria, kamwe hiyo version ya 2014 waliyonayo NEC hawatakubari itumike Kalenga kesho kutwa.
Kauli kama hizi ni dalili ya malalamiko ya kuibiwa kura! Hapo ni Iringa mjini, wapiga kura wako KALENGA.
Kauli kama hizi ni dalili ya malalamiko ya kuibiwa kura! Hapo ni Iringa mjini, wapiga kura wako KALENGA.
Duh, magamba hapo wako hoi...
chadema inafanya siasa kisayansi kalenga imezunguka halmashauri ya Iringa hivyo kuna wapifa kura wengi sana wanaishi/wanafanyabiashara Iringa...