MALI YA BABA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 459
- 119
Duh, magamba hapo wako hoi...
Hawa jamaa ni weupeeee sana na ni wepesi hawa...haya magamba yatapulizwa tu..
Duh, magamba hapo wako hoi...
Kama kawaida. Leo jioni kuanzia saa tisa, makamanda wa anga walitua mjini iringa wakiongozwa NA mboe, then lema, msigwa, n.k. Wamewahutubia wananchi na kuwataka siku ya j2 kujitokeza ukumbi wa siasa kusubilia na kulinda kula za kalenga.
Watu walikuwa wengi ajabu.kweli mungu yu pamoja na cdm.nawasilisha.
Pamoja sana makamanda,
kazi kwenu wana kalenga,ondoeni aibu ya kwamba hamna wanaoweza kuongoza jimbo lenu isipokuwa familia ya Mgimwa
Sisi tuliombali tunasubiri kuiona hekima yenu.
Ubunge siyo ufalme kwamba unarithishwa kwenye familia ya kifalme husika.
Ahaaaaa...kwa hiyo mtoto wa mkulima amepanda cheo na kuwa fisadi?Mtoto wa Mgimwa hajuhi hata kiswahili Mtanzania gani hajuhi hata kiswahili vizuri?, watoto wa mafisadi. Hata pinda alikuwa mtoto wa mkulima wakati anaanza utawala, leo iko wapi?
View attachment 144514Kamanda wa anga Freeman Mbowe akamua...
chadema inafanya siasReply With Quotea kisayansi kalenga imezunguka halmashauri ya Iringa hivyo kuna wapifa kura wengi sana wanaishi/wanafanyabiashara Iringa...
Mwisho wa siku chopa moja kura moja,Pambafu
tulia msumari wa moto ukuingie!!! nyambaaaaaaffffffffff
View attachment 144514Kamanda wa anga Freeman Mbowe akamua...
Uchaguzi upo mjini au kalenga maana bangi ni tatizo kwa CHADEMA
Anamuwaza Joyce Mukya tu hapo wakafanye uasherati. Hana lolote huyo DJ Wa muziki liMBOWE
Anamuwaza Joyce Mukya tu hapo wakafanye uasherati. Hana lolote huyo DJ Wa muziki liMBOWE
Anamuwaza Joyce Mukya tu hapo wakafanye uasherati. Hana lolote huyo DJ Wa muziki liMBOWE
Acha ndoto za abunuwasi pimbi wewe
Wewe mtamu tu
Unaogopa nini sasa?nitafute nikusimikie mzizi uuone mziki wangu kicheche ww!