Chadema yatikisa iringa mjini.

Jama jama jama hachen matusi hapana tusi m2 hapa 2vumiliane kisiasa japo kuna wa2 wanakera.
 
Jaman mnakosea, cdm haitishi iringa mjin pekee bali ni tz nzima wanaielewa, sema ccm wanaona aibu kutukabidhi net iliyotobokatoboka, na tuna waambia tutaishona kwa meno na kwa kanuni za majembe 4rom cdm.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Uchaguzi kalenga, picha za iringa mjini. Mnapenda sifa nyie!!!??? Mnaogopa kwenda field coz watu watakuwa kiduchu?
 
Wingi wa watu mkutanoni sio wingi wa kura kwani wengi wao hawana shahada za kupigia kura. Kamanda amewauliza wrnye shahada na wataopiga kura kwa cdm ni wangapi?
 
Wingi wa watu ni dhahili kukubalika kama wananchi wanaweza kuwaacha CCM na wasanii wao wakaenda pasipo wasanii bila shaka inakubalika cdm
 
Shida moja chadema tuna watu wengi lakini hawapo kwenye list ya wapiga kura. Vijana wengi tunashabikia lakini hatutaki kujiandikisha na hata tukijiandikisha hatuendi kupiga kura. Hembu viongozi wa chdm tafakarini upya ikiwezekana tuwe na agenda moja ya kuwa na tume huru, pili kuishinikiza serikali iboreshe daftari. Hatutaki upuuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom