Jaman mnakosea, cdm haitishi iringa mjin pekee bali ni tz nzima wanaielewa, sema ccm wanaona aibu kutukabidhi net iliyotobokatoboka, na tuna waambia tutaishona kwa meno na kwa kanuni za majembe 4rom cdm.
Wingi wa watu mkutanoni sio wingi wa kura kwani wengi wao hawana shahada za kupigia kura. Kamanda amewauliza wrnye shahada na wataopiga kura kwa cdm ni wangapi?
Shida moja chadema tuna watu wengi lakini hawapo kwenye list ya wapiga kura. Vijana wengi tunashabikia lakini hatutaki kujiandikisha na hata tukijiandikisha hatuendi kupiga kura. Hembu viongozi wa chdm tafakarini upya ikiwezekana tuwe na agenda moja ya kuwa na tume huru, pili kuishinikiza serikali iboreshe daftari. Hatutaki upuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.