Daniel Anderson
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 872
- 141
Akili za memberz wengi humu ni kama maisha ya funza. Fupi mno kujiita great thinkers. Hivi, mna log in kujibishana na ritz? Au nanyi mnataka umaarufu humu? Mnaboa kupitiliza.
Back to topic, huu ni wakati wa cdm kujiimarisha visiwani ili kupata mwonekano wa kitaifa zaidi. Ni wakati wa kuwa CHAMA HALISI kikuu cha upinzani nchini, kwa sura ya utaifa.
Ni kweli sana kuwa kwa sasa wazanzibari ndio wako kwenye uhitaji mkubwa kuliko wakati mwingine wowote, wa kuwa na chama cha upinzani cha kweli kitakacho simama upande wao siku zote.
Back to topic, huu ni wakati wa cdm kujiimarisha visiwani ili kupata mwonekano wa kitaifa zaidi. Ni wakati wa kuwa CHAMA HALISI kikuu cha upinzani nchini, kwa sura ya utaifa.
Ni kweli sana kuwa kwa sasa wazanzibari ndio wako kwenye uhitaji mkubwa kuliko wakati mwingine wowote, wa kuwa na chama cha upinzani cha kweli kitakacho simama upande wao siku zote.