Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
Chadema nimpango wa Mungu
Baada ya kutangaza maandamano na wafuasi wake maana tunajua hawana wanachama, serikali yayapiga stop maandamano hayo yenye lengo lilofunikwa la kupora mali za raia.
Tumekuwa tukishuhudia kila yanapotokea maandamano; wapo watu wanaopata hasara kubwa kwa kuporwa na waandamanaji, kupoteza mali n.k. Kikubwa kinachotokea ni uporaji hasa maeneo yafuatayo; bar, hotelini, maduka, vibandani, wapo pia wanaoporwa mikoba, pochi, walet, simu na vitu vingine vya thamani na waandamanaji ndio maana wanajitokeza kwa wingi maana ni siku yao ya kutengeneza
kama chadema wameshaona dalili za kushindwa huo uchaguzi ni vema wakajipanga upya maana bado kuna chaguz kibao zinakuja. Yanini kutumia vurugu kama timu ambayo imeshafungwa inavuruga mchezo?
Na kama chadema wanaamini askari wengi wanawaunga mkono kwanini wasiheshimu kazi yao ya uaskari?
mkwara bubu huu, vikosi vya kuiwaji hivyo ndio mana maandamano haramu yamepigwa marufuku, wahuni nyie
Senior Member Array
Hao vibaka wenzako taarifa za kuandamana kwa ajili ya kupora mali za wananchi uliwapa huku jf ili sasahivi utangaze humu yamepigwa stop?? Hawaijui jf nenda kawatafute kule soko kuu na unga ltd uwape taarifa mapema, tena umechelewa.
Wewe unapaswa kupelekwa mirembe kwa lazima