CHADEMA yasitisha maandamano-Arusha

CHADEMA yasitisha maandamano-Arusha

.Tunauhakikishia umma wa sombetini na Arusha na Tanzania kwa ujumla kuwa vikosi vyetu vya B 52,Qx Mapambano,Mandela scorpion,Guerila 40,El Che889,Lenin 34PH,na Mama Haki,vimekamilisha maandalizi kabambe kwa ajili ya Sombetini ili kulinda ushindi wetu ambao ni wa 95%+.

Ndio makamanda naviaminia vikosi vyenu hivi, hakikisheni watu hawatoki kwenda kupiga kura. Polisi wa Arusha ndio walezi wa vikundi hivi kwa hiyo ushindi lazima.
 
Unawadanganya lumumba wenzako? Polis ndio waliozuia maandamano ya cdm.
Pili miktn ya ccm ndo haina watu kbs,cdm wanajaza watu tena wa kata ya sombetin, tofaut na ccm ambao hata hao wachache ni mabaloz kutoka kila kata.
Nitajie mktn amby ccm wamekwishafanya mpk now,wakt cdm wakimaliza kila eneo...
Kama ccm wanakubalika,kwann wapite usiku kuwashawishi watu kununua shahada? Kwann mpige watu kama kweli mnapendwa zaidi?
Kwann mseme mtashinda hata kwa kwenda kwa mganga,kuua,kuiba kura au kununua shahada? Kwann mtumie ukabila kuwashawish wanasombetin kuwapa kura?
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA)
H/SE NO 8.NHC STREET
NGARENARO
www.Chadema.or.tz
TAARIFA KWA UMMA
Tunachukua fursa hii kuujulisha umma wa Arusha na Tanzania kwa ujumla kuwa maandamano yetu ya amani yaliyokuwa yafanyike Feb 5 yameahirishwa hadi hapo tutakapotangaza tena,
Hata hivyo tunawashukuru sana umma wa Arusha kwa utayari wao wa kupinga Ukandamizaji,dhuluma,na ukiukwaji wa haki za msingi za binadamu.Tunauhakikishia umma kuwa CHADEMA tutaendelea kuwa msitari mbele katika mapambano haya hadi kieleweke.Tunauhakikishia umma wa sombetini na Arusha na Tanzania kwa ujumla kuwa vikosi vyetu vya B 52,Qx Mapambano,Mandela scorpion,Guerila 40,El Che889,Lenin 34PH,na Mama Haki,vimekamilisha maandalizi kabambe kwa ajili ya Sombetini ili kulinda ushindi wetu ambao ni wa 95%+.Kamwe hatutavumilia hujuma yoyote kutoka kwa yeyote.
CHADEMA tupo imara sana,tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu

Nanyaro EJ
Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Arusha mjini
 
naona hili jukwaa limegeuka kuwa la majungu na kila aina ya upuuzi!!!! buk 7 imevunja hadhi ya jf!
 
Historia nyingine inaenda kuandikwa siku ya jumapili tar 9/2.Kaa mkao wa kula uone vile Lowassa asivyokubalika ndani ya mkoa wa Arusha
 
wewe kwanini ujiunge huku kwa waelewa kama uelewa wako mdogo. IQ yako ipo below zero nikuwekee picha?


Tuna hasara kubwa humu kwa uwepo wa member kama wewe Msuki humu jamvini. Hivi una akili kweli ya kukumbuka usemacho? Pole sana!
PakaJimmy nakwambia member kama hawa wanahesabika humu ni hasara tu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom