CHADEMA yasitisha maandamano-Arusha

CHADEMA yasitisha maandamano-Arusha

Tunauhakikishia umma wa sombetini na Arusha na Tanzania kwa ujumla kuwa vikosi vyetu vya B 52,Qx Mapambano,Mandela scorpion,Guerila 40,El Che889,Lenin 34PH,na Mama Haki,vimekamilisha maandalizi kabambe kwa ajili ya Sombetini ili kulinda ushindi wetu ambao ni wa 95%+.Kamwe hatutavumilia hujuma yoyote kutoka kwa yeyote.
CHADEMA inaweza kushinda katika hiyo kata lakini unapokuja na takwimu za namba kama hizo, hata andiko lako linaitingishwa na mantiki ya hoja nzima.

Hizo figure tulikuwa tunazipata kipindi cha utawala wa chama kimoja na hata siyo kwa wagombea wote.

Hata Mwl. Nyerere ambaye mpinzani wake alikuwa ni kivuli, lakini hakuweza mara nyingi kupata zaidi 95% ya kura zilizopigwa.

It's too good to be true!.

Haya bana, yetu macho na masikio.
 
Lazima CCM wachangie..kwani maandamano wanayaogopa sana..yakianza sijui watakuwa na umbea gani sijui watalii,sijui mikutano eh na eh.
 
CHADEMA inaweza kushinda katika hiyo kata lakini unapokuja na takwimu za namba kama hizo, hata andiko lako linaitingishwa na mantiki ya hoja nzima.

Hizo figure tulikuwa tunazipata kipindi cha utawala wa chama kimoja na hata siyo kwa wagombea wote.

Hata Mwl. Nyerere ambaye mpinzani wake alikuwa ni kivuli, lakini hakuweza mara nyingi kupata zaidi 95% ya kura zilizopigwa.

It's too good to be true!.

Haya bana, yetu macho na masikio.

Hatubahatishi tunamaanisha
 
Ni wachangiaji wachache sana wanaiona habari hii sasahivi, wengi wanaochangia sasa ni kama wale kina KIWEWE, MASAWE hadi waende pembeni wakajadiliane! wengine wanajibu hoja za wengine! GREAT THINKERS NI WALE WACHANGIAJI 50 WA MWANZO! the thread is closed.
 
Hiv mbona ccm wameitisha nao maandamano lakin polis hawajapiga stop? Na mbona hamjadili maandamano ya ccm?
 
Maandamano ni haki ya kila raia wa Tanzania, soma katiba ya nchi hii wewe punguani
Hakuna haki ya Raia kidemokrasia isiyokuwa na mipaka na ndiyo maana kukawepo nchini na law enforcement agencies.
Ndiyo maana hata ibara ya 36(1-2) ya Katiba inasema hivi,
26.-(1) Kila mtu ana wajibu wa kufuata na kutii Katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano.
(2) Kila mtu ana haki, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria, kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha hifadhi ya Katiba na sheria za nchi.
 
Hatubahatishi tunamaanisha
Kauli yako ninaiona kama vile hauko serious na kama utakuwa serious basi labda huelewi au unajifunza siasa za Tanzania.

Tutakutana hapa tarehe 9th Feb kama CHADEMA itakuwa imeshinda zaidi ya 95+ of the votes counted.

Mind you, sijasema kama CHADEMA hawatashinda, bali ninasema hawatashinda kwa asilimia hii unayotaka kuniaminisha.
 
Kauli yako ninaiona kama vile hauko serious na kama utakuwa serious basi labda huelewi au unajifunza siasa za Tanzania.

Tutakutana hapa tarehe 9th Feb kama CHADEMA itakuwa imeshinda zaidi ya 95+ of the votes counted.

Mind you, sijasema kama CHADEMA hawatashinda, bali ninasema hawatashinda kwa asilimia hii unayotaka kuniaminisha.

Wewe unazungumzia uzoefu,mimi nipo field najua ninachoandika
 
Leo Chadema wamesitisha maandamano baada ya kutokuelewana jana usiku kwenye kikao chao cha ndani ambacho alimanusura mbunge na mgombea wa udiwani sombetini wazipige

Baada ya lema kumtuhumu kuwadanganya kuwa anakubalika na vijana sombetini ilihali halisiyo ilivyo vijana hawaonekani kwenye mikutano ya Chadema bali ccm

Vijana wa desembar wamegoma kushiriki maandamano philipsi wamegoma kilombero wote hao ni baada ya lema kushindwa kuwasaidia kila wanalolipanga

Mmoja alifoka kwakutukana kuwa wewe umejenga ghorofa njiro sisi hatuna kitu nakila mara unatuchora kuwa tukiandamana kitaeleweka

Diwani wa Elerai mzee mpinga alitoa wazo la kuhairisha maandamano ilichama kijipange upya nakuwaomba hao vijana waache jasba na waendeleze urafiki wao na mbunge
 
Leo Chadema wamesitisha maandamano baada ya kutokuelewana jana usiku kwenye kikao chao cha ndani ambacho alimanusura mbunge na mgombea wa udiwani sombetini wazipige

Baada ya lema kumtuhumu kuwadanganya kuwa anakubalika na vijana sombetini ilihali halisiyo ilivyo vijana hawaonekani kwenye mikutano ya Chadema bali ccm

Vijana wa desembar wamegoma kushiriki maandamano philipsi wamegoma kilombero wote hao ni baada ya lema kushindwa kuwasaidia kila wanalolipanga

Mmoja alifoka kwakutukana kuwa wewe umejenga ghorofa njiro sisi hatuna kitu nakila mara unatuchora kuwa tukiandamana kitaeleweka

Diwani wa Elerai mzee mpinga alitoa wazo la kuhairisha maandamano ilichama kijipange upya nakuwaomba hao vijana waache jasba na waendeleze urafiki wao na mbunge

Hoja yako umeipangilia vizuri kiasi kwamba asiyeweza kutumia akili anaweza kufikiri kuwa unachosema ni kweli.
 
Leo Chadema wamesitisha maandamano baada ya kutokuelewana jana usiku kwenye kikao chao cha ndani ambacho alimanusura mbunge na mgombea wa udiwani sombetini wazipige

Baada ya lema kumtuhumu kuwadanganya kuwa anakubalika na vijana sombetini ilihali halisiyo ilivyo vijana hawaonekani kwenye mikutano ya Chadema bali ccm

Vijana wa desembar wamegoma kushiriki maandamano philipsi wamegoma kilombero wote hao ni baada ya lema kushindwa kuwasaidia kila wanalolipanga

Mmoja alifoka kwakutukana kuwa wewe umejenga ghorofa njiro sisi hatuna kitu nakila mara unatuchora kuwa tukiandamana kitaeleweka

Diwani wa Elerai mzee mpinga alitoa wazo la kuhairisha maandamano ilichama kijipange upya nakuwaomba hao vijana waache jasba na waendeleze urafiki wao na mbunge

Photoo mee! or whatever you call yourself; jibu lako ni jumapili, na usiingie mitini!
 
Acha uongo wewe kilaza,maandamano yamepigwa stop na polisi jana na wala si vijana kugoma.
Halaf unasema cdm hawana vijana,mara vijana wamegoma,sasa hao wametoka wapi wa kugoma? Mikutano ya ccm ndo haina watu,chadema watu wanajaa hujawah kuona...
Mpk sasa cdm wamefanya mikutano kila kijiji na kila eneo lililo wazi,ccm wanashindwa kufanya mpk ss wamefanya miktn 3 tu na hakuna watu..
Hata mlipopigwa 4-0 mlikuwa mnasema hayahaya mnayoyazungumzia sasa.usipotoshe watu ili ulipwe buku zako 7 ww
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA)
H/SE NO 8.NHC STREET
NGARENARO
www.Chadema.or.tz

TAARIFA KWA UMMA
Tunachukua fursa hii kuujulisha umma wa Arusha na Tanzania kwa ujumla kuwa maandamano yetu ya amani yaliyokuwa yafanyike Feb 5 yameahirishwa hadi hapo tutakapotangaza tena,

Hata hivyo tunawashukuru sana umma wa Arusha kwa utayari wao wa kupinga Ukandamizaji,dhuluma,na ukiukwaji wa haki za msingi za binadamu.Tunauhakikishia umma kuwa CHADEMA tutaendelea kuwa msitari mbele katika mapambano haya hadi kieleweke.

Tunauhakikishia umma wa sombetini na Arusha na Tanzania kwa ujumla kuwa vikosi vyetu vya B 52,Qx Mapambano,Mandela scorpion,Guerila 40,El Che889,Lenin 34PH,na Mama Haki,vimekamilisha maandalizi kabambe kwa ajili ya Sombetini ili kulinda ushindi wetu ambao ni wa 95%+.Kamwe hatutavumilia hujuma yoyote kutoka kwa yeyote.

CHADEMA tupo imara sana,tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu

Nanyaro E.J
Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Arusha mjini
 
Leo Chadema wamesitisha maandamano baada ya kutokuelewana jana usiku kwenye kikao chao cha ndani ambacho alimanusura mbunge na mgombea wa udiwani sombetini wazipige

Baada ya lema kumtuhumu kuwadanganya kuwa anakubalika na vijana sombetini ilihali halisiyo ilivyo vijana hawaonekani kwenye mikutano ya Chadema bali ccm

Vijana wa desembar wamegoma kushiriki maandamano philipsi wamegoma kilombero wote hao ni baada ya lema kushindwa kuwasaidia kila wanalolipanga

Mmoja alifoka kwakutukana kuwa wewe umejenga ghorofa njiro sisi hatuna kitu nakila mara unatuchora kuwa tukiandamana kitaeleweka

Diwani wa Elerai mzee mpinga alitoa wazo la kuhairisha maandamano ilichama kijipange upya nakuwaomba hao vijana waache jasba na waendeleze urafiki wao na mbunge

Mpika majungu tu wewe. Kawalishe Lumumba.
 
Back
Top Bottom