Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,749
Wana jf hebu tuone aibu
kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa
hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya
wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem
zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya
people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri
Ulitaka tujitokeze kwa maelfu ili mtulipue tena kama mlivyofanya kwa kusaidiwa na mapolisi wenu ile siku ya kuhitimisha zile kampeni?Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri
Sijui ni kwa nini ama ni nini kipo.
Lakini elimu juu ya uhuru na haki ya kura miongoni mwetu ni tatizo. Tutizame uchaguzi mkuu ulipita mwaka 2010 wapliopiga kura walikuwa ni watu wachache sana ikilinganishwa na waliojiandikisha.
kwenye chagauzi ndogo hali inajirudia licha y kuwa na mahudhurio mazuri kwenye kampeni na usajili wa wapiga kura. Binafsi mimi ni miongni mwa watu ambao hawaendagi kupiga kura kabisa licha ya kwamba najua umuhimu na faida yake. swali amballo huwa sina jibu lake ni hivi ni kwann sipendi ama siendi kupiga kura?? na pia uwa najiulaiza kuna watu wangapi wenye tabia kama hii??
maswala mengiine nafikiri siyo ya vyama vya siasa ila ni ya mtu binafsi tu kwamba anapenda ama hapendi na ni uhuru wa mtu kupiga ama kutokupiga kura
Ndio sasa nasema msitumie kauli mbiu ya people's power kirejareja kwa maana hamuiwezi kinadharia people's power ni kama ile pale Tahrir square Misri na ni kwamba ije mvua, yaje mabomu, zije risasi watu wanatoka tuuu na wala hawastuki mshipa wa fahamu; mpoooo? people'sssssssssssNgoja nijaribu kusaidia kukuelewesha. Naishi Arusha. Wananchi wametishwa sana kuhusu huu uchaguzi, na waliokuwa wanatisha watu ni polisi na uongozi wa serikali wa mkoa na wilaya. Jumamosi jioni kuna watu wamepita nyumba kwa nyumba kuwakumbusha kuhusu bomu la Soweto. Watu wametangaziwa wakae majumbani kwa kuwa kuna tishio la mabomu. Wakati huohuo CCM walikuwa wanatuma ujumbe wa simu kukumbusha watu kwenda kuwapigia kura (mimi pia nilitumiwa sms na balozi wa mtaa wetu ambaye nina uhakika hauelewi mrengo wangu maana huwa sijadili hizi siasa mtaani kwangu). Jana jumapili mitaani kulikuwa na polisi tele, wamevaa kivita (bullet proof) na silaha nzitonzito, na katika vituo vya kura walizungushia utepe na kuuzingira. Nimeshuhudia watu wakikamatwa na kusweka kwenye magari yanayodaiwa ni ya polisi (hayakuwa na namba za polisi, lakini tunafahamu silaha zile hakuna raia anazo). Hii yote ilikuwa kutishia CHADEMA wasiende kupiga kura. Na kweli wengi hawakwenda. Hao wachache ambao ilidhaniwa kuwa ni CCM, walipoingia chumba cha kura wakachagua kilicho moyoni: CHADEMA. Ndipo watu wa Arusha walipofikishwa.
Kama unajua umuhimu wa kupiga kura halafu huendi kupiga kura, je wasiojua umuhimu wa kupiga kura na wakauza shahada zao wanafanya makosa? Na je, usipopiga kura (hali ukijua umuhimu wake) na ikatokea waliochaguliwa huwapendi/huwataki utakuwa na haki ya kulalamika?
Wana jf hebu tuone aibu kidogo na tuwaulize hawa wenzetu hiyo people's power yao iko wapi ikiwa hata kutoka tu ndani kwenda kituoni kupiga kura wameogopa kati ya wapiga kura 60,000 wanajitokeza 6,000 tu si kituko hiki sasa hao sisiem zaidi ya 20,000 wangejitokeza si ingekuwa gharika. Haya mambo ya people's power za kishabiki hazitapeleka cdm ikulu kama
wanavyojinasibu hebu tuwape ushauri
na siyo kwamba hayoa yote siyajui.
myself sitegemei mwanasiasa aniletee mabadiliko kamwe........... manake nimekuwa nikakuta hakuna walichokifanya na wala hakuna kinachofanywa nao zaid ya kula na kujineemesha wao.
sasa kuliko nimpe mtu kura ya kwenda kuninyonya heri nisimpe kabisa nijue ananinyonya kwasababu karuhusiwa na wengine ile sio mimi niliyemruhusu.
Mungu ana taabu sana na nyie viumbe wake, alikuumba na ufahamu kamili lakini kwa sababu unazozijua wewe umeamua kujitoa ufahamu. Kazi ipo...!
kwa hiyo unataka kusemaje???
kwamba ccm ndio imeshinda arusha?
hongereni ccm kwa ushindi mnono!
Duniani kuna watu wa ajabu sana!