CHADEMA yashinda udiwani kata ya Saranga

CHADEMA yashinda udiwani kata ya Saranga

Hongera Ephraim Kinyafu, lakini bado kuna changamoto kubwa ya maji kata ya Saranga kuanzia hapo Kimara Stop over penyewe
 
Hongera zao, kazi kwao sasa kuleta maji, Jimbo lote wao ndio watawala! Mbunge Chadema, Baraza la Madiwani wote Chadema. Sasa hapo ni kazi tuuu.
Elimu na kazi, ukisema kazi tuu ni sawa na kulima shamba bila kupanda mbegu.
 
Ki ukweli CCM ikiendelea kurudia makosa kama yanayofanyika kwenye jimbo la Kibamba na Ubungo, haya majimbo hatutayakomboa kirahisi. Toka tumenza kupoteza jimbo la Ubungo huko nyuma tatizo lilianzia kwenye kura za maoni kwani wanashinda watu kwa nguvu ya pesa na ambao si chaguo la wananchi. Viongozi wa Chama (W) wanakumbatia wagombea wasio na sifa kisa wana pesa. Kwa kuwa wananchi hawawapendi wanakula pesa zao ila kura hawawapi. Wananchi wa sasa wameelimika, ukija na pesa yako wanakula tu na kura hawakupi.....mnalutea watu amabo si wakazi wa huku na wasio na historia yoyote ya uongozi wa Chama au kusaidia jambo lolote katika jimbo letu, badala yake mnaleta watu wanaowahonga ninyi amabo huku hawajulikani. Msipobadilika CCM tutaendelea kupigwa tu katika majimbo ya Ubungo na Kibamba. CCM makao makuu badilisheni haraka uongozi wa CCM wilaya, makatibu wa majimbo n.k. kwani wameshindwa kabisa zaidi ya kujali matumbo yao. HII NI AIBUUUU. Haijawahi kutokea.


Sikiliza ndg kwa habari ya majimbo ya Ubungo na Kibamba hata akija kugombea KINANA tutamtupa Asubuhi....haya majimbo watu tunaoishi huku sio MBULULAZ tumeamua kufanya kuwa ni BASE ya UKAWA tunajua Serikali wanatia ugumu kusaidia maendeleo wakidhani wanatukomoa nasisi tumejua kwamba ukiona GIZA linazidi basi pambazuko liko karibu kwahiyo usilaumu viongoz wako Nisawa leo hii UKAWA kulalamikia Kushindwa DODOMA MJINI au Majimbo ya huko Songea
 
Hivyo ndo vyeo vya kuwapa UKAWA ila kwenye Urais bado sana
 
UKAWA safari hii wana kila dalili ya kutoa meya

Sio kila dalili meya wa jiji ni lazima awe kutoka ukawa meya wa kinondoni ni lazima awe ukawa meya wa temeke ni lazima awe kutoka ukawa na meya wa ilala kama kawa
 
Jana tulishinda pia kata ya Malambo huko Ngorongoro, kwa hyo mgawanyo ni CCM 17, CHADEMA 10 na ACT 1.....
 
Wasi tuangushe wafanye kazi tumewaamin na wlchokua wanakta tumewpa sasa kazi kwao
 
Jimbo zima lipo chini ya Ukawa.
Wakishinda CCM,wanakuwa wameiba au uchaguzi haukuwa wa haki,lakini wakishinda Chadema ,hakuna kelele wala malalamiko wala kuibiwa .Acheni undumila kuwili mjifunze kuwa wastaarabu kama wapenzi na washabiki wa CCM.
 
Wakishinda CCM,wanakuwa wameiba au uchaguzi haukuwa wa haki,lakini wakishinda Chadema ,hakuna kelele wala malalamiko wala kuibiwa .Acheni undumila kuwili mjifunze kuwa wastaarabu kama wapenzi na washabiki wa CCM.

Kitulize.

Wanaoongea wanajua nini wanaongea,.
 
Duh Hii hatari, yani watu kibao hawakupiga kura, especially vijana, I can imagine kura za awali matokeo yalikuwaje.
 
Sikiliza ndg kwa habari ya majimbo ya Ubungo na Kibamba hata akija kugombea KINANA tutamtupa Asubuhi....haya majimbo watu tunaoishi huku sio MBULULAZ tumeamua kufanya kuwa ni BASE ya UKAWA tunajua Serikali wanatia ugumu kusaidia maendeleo wakidhani wanatukomoa nasisi tumejua kwamba ukiona GIZA linazidi basi pambazuko liko karibu kwahiyo usilaumu viongoz wako Nisawa leo hii UKAWA kulalamikia Kushindwa DODOMA MJINI au Majimbo ya huko Songea
Nakubaliana na wewe kuwa hizi ni ngome zenu kisiasa kwa sasa ila CCM tukiwa na mikakati mizuri tutazivunja tu kama CDM inavyovunja za Kwetu, mfano Tanga Mjini.....ni mikakati tu, Ubungo tunapoteza kwa kurudia makosa yaleyale....ila pongezi CDM.....
 
Elimu na kazi, ukisema kazi tuu ni sawa na kulima shamba bila kupanda mbegu.
Sawa mkuu, kwa kuwa CDM ndio maboss wa jimbo na kauli mbiu yenu ni Elimu, na sisi Hapa ni kazi tuu, na kwa kuwa zote ni heri kwetu hakuna shida mkuu! ELIMU NA KAZI! ila Hapa kazi TUUUU
 
Back
Top Bottom