CCM ndo kinapoteza kwani kumbuka kunacku nchi nzima ilikuwa chini yao. Sasa CHADEMA hata wakichukua kata moja anayepoteza ni ccm kwani anakuwa kanyang'anywa ni ccm.
CHADEMA big up. Kaza boot na chukua kata moja moja.
Na ikumbukwe chadema hawana chagonjwa, mwemwa wala kivu ila wanapita tu.
Hizo ni porojo za kushindwa uchaguzi; tatizo kubwa chama chenu mlimweka mtu asiyeuzika na mamluki toka wilaya ya Kinondoni pia shughuli za kampeni ziliratibiwa na ofisi ya makao makuu huku ofisi ya wilaya TMk wakiwa watazamaji. Siku moja kabla ya uchaguzi, viongozi wa M4C wakiwa na gari lao walilewa sana ZACKEEM PUB badala ya kufanya kampeni
Uhai wa chama sio bendera. Chama kiko rohoni mwa watu. Huyo mmiliki wa Kakonko CCM imemfanyia mizengwe ya kumfungia biashara yake, akaamua kufunika kombe ili mwanaharamu apite. Wengi ndani ya CCM urafiki wao ni wa mashaka.
Mfano mzuri ni huu. Mianzini CCM ina wajumbe zaidi 980 bila kuhusisha familia zao, imekuwaje mkapata kura 1000 na wakati kila mjumbe alipewa Tzs 50, 000? Mbaya zaidi kila kura ya Mianzini mliyoipata thamani yake si chini ya Tzs 20, 000. Kumbuka kila mbunge wa CCM Dar amechanga milioni 3 na Mbwana kaweka rehani baa yake kwa Kisuma.
Katika tathmini ya CCM mmekubaliana kufungua akaunti ya uchaguzi kwa kila mtaa kwa ajili ya ucgaguzi wa serikali za mitaa mwaka kesho. Mmekubali kabisa kuwa uchaguzi wa Mianzini haukuwa mzuri kwenu na kwamba kama mgombea wa CUF angekuwa CHADEMA msingeshinda kata hiyo. Bahati nzuri mazungumzo yenu niliyanasa na ukibisha nitayaweka wazi mtandaoni.
Nikianike kikao chenu cha tathmini (video) ya Mianzni mtandaoni?
watu wa dar wanauwezo wa kutafakari mambo siyo wakutumika hovyo kama watu wa arusha,chadema wasitegemee kuwapata watu wa dar kirahisi labda wakaazi wa kimara peekee ambao kila mtu anajua kwa nini ni washabiki wa chadema.
Tarehe 14.07.2013 siyo mbali, adhabu yenu toka kwa wananchi.
na bado watahama tu dar,dar siyo moshi wataisoma tu.
Mkuu tupia video maana mbinu zao za kipuuzi tu
watu wa dar wanauwezo wa kutafakari mambo siyo wakutumika hovyo kama watu wa arusha,chadema wasitegemee kuwapata watu wa dar kirahisi labda wakaazi wa kimara peekee ambao kila mtu anajua kwa nini ni washabiki wa chadema.
haya katibu mwenezi....
Kwa Dsm, Chadema mna kazi ya kufanya, pokeeni huo ushauri.Kama mnataka kuikamata Dar, fanyeni kampeni ya nyumba kwa nyumba, fungueni matawi,wekeni viongozi imara,kuwe na ofisi za kudumu nk
Nikianike kikao chenu cha tathmini (video) ya Mianzni mtandaoni?
sitashangaa nyie ni hodari wa kuunganisha picha kama ilivyotamkwa na Kamanda Chagonja! CDM ni janga la taifa, mwisho wake ni 2014 uchaguzi wa serikali za mitaa
tumeshakamata kawe na ubungo. Majimbo yatakayofuata ni segerea na ukonga. temeke, ilala na kinonondoni ni pa gumu kwa sababu ya udini(uislamu); watu wengi maeneo hayo wanang'ang'ania cuf na ccm kwa sababu za kidini.
Siku zote wana CDM hawataki kuambiwa UKWELI, habari ndiyo hiyo uchaguzi mdogo umeisha, CDM imepotea Mbagala! CDm ni chama cha msimu, wakati wa uchaguzi tu
Tarehe 14.07.2013 siyo mbali, adhabu yenu toka kwa wananchi.