1. By bagamoyo
Mh. Emmanuel Nchimbi inabidi sasa ajiuzulu, kwani tunaona mlolongo wa kushindwa kutoa maamuzi sahihi kusimamia Jeshi la POLISI kufanya kazi kwa kufuata sheria na yeye pia kukurupuka kuunda TUME iichunguze wizara yake kufuatia mauwaji ya wananchi
Madaraka Nyerere anatukumbusha juu ya uungwana wa kuwajibika waziri husika kama kunatokea mlolongo wa mauwaji ya wananchi kama Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mzee Ali Hassan Mwinyi alivyojiuzulu:
2. By kudi shauri mwaka 2006 kulitokea mauaji ya wachimba madini kutoka mahenge nje kidogo ya dar es salaam baada ya hao jamaa kukamatwa na polisi. Rais kikwete aliunda tume huru iliyo ongozwa na jaji wa mahakama kuu kuchunguza vifo hivi. Tume ilitoa ripoti yake na kulaumu polisi kwa mauaji ya hao wachimba madini wa mahenge. Kutoka hapo askari polisi kadhaa walikamatwa na kushtakiwa kwa ya mauaji hayo akiwepo aliye kuwa regional crimes officer wa dar wa wakati huo bwana zombe. Sioni tofauti ya kesi hiyo ya wachimba madini wa mahenge na hii ya ndugu mwangosi. Tindu lisu na cdm are right - waziri nchimbi na ag werema wacheni usanii kwenye mambo ya sheria!
3. By Kudi Shauri ---The issue hapa sio kilichotokea kwenye kesi ya akina Zombe Mahakama kuu. The issue ni uchunguzi wa mauaji ya hao jamaa wa Mahenge ambao mwanzoni walisingiziwa kuwa walikuwa majambazi waliouwawa na Polisi. Tume Huru ikiongozwa na Jaji wa Mahakama Kuu ilidhibitisha hao jamaa hawakuwa majambazi bali ni raia wema waliouliwa kinyama na Polisi wa Tanzania wakiongozwa na Zombe. Tume ikapendekeza kina Zombe washitakiwe kwa kosa la mauaji. Kesi ilifunguliwa na DPP na Serikali ilishindwa kisanii katika mahakama kuu. Tuliambiwa kuwa Serikali/DPP walikuwa wamedhamiria kukata rufaa katika kesi hii - mpaka leo hatujasikia lolote juu ya rufaa hiyo - usanii mwingine katika ofisi ya AG.
Madaraka Nyerere anatukumbusha juu ya uungwana wa kuwajibika waziri husika kama kunatokea mlolongo wa mauwaji ya wananchi kama Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mzee Ali Hassan Mwinyi alivyojiuzulu:
2. By kudi shauri mwaka 2006 kulitokea mauaji ya wachimba madini kutoka mahenge nje kidogo ya dar es salaam baada ya hao jamaa kukamatwa na polisi. Rais kikwete aliunda tume huru iliyo ongozwa na jaji wa mahakama kuu kuchunguza vifo hivi. Tume ilitoa ripoti yake na kulaumu polisi kwa mauaji ya hao wachimba madini wa mahenge. Kutoka hapo askari polisi kadhaa walikamatwa na kushtakiwa kwa ya mauaji hayo akiwepo aliye kuwa regional crimes officer wa dar wa wakati huo bwana zombe. Sioni tofauti ya kesi hiyo ya wachimba madini wa mahenge na hii ya ndugu mwangosi. Tindu lisu na cdm are right - waziri nchimbi na ag werema wacheni usanii kwenye mambo ya sheria!
3. By Kudi Shauri ---The issue hapa sio kilichotokea kwenye kesi ya akina Zombe Mahakama kuu. The issue ni uchunguzi wa mauaji ya hao jamaa wa Mahenge ambao mwanzoni walisingiziwa kuwa walikuwa majambazi waliouwawa na Polisi. Tume Huru ikiongozwa na Jaji wa Mahakama Kuu ilidhibitisha hao jamaa hawakuwa majambazi bali ni raia wema waliouliwa kinyama na Polisi wa Tanzania wakiongozwa na Zombe. Tume ikapendekeza kina Zombe washitakiwe kwa kosa la mauaji. Kesi ilifunguliwa na DPP na Serikali ilishindwa kisanii katika mahakama kuu. Tuliambiwa kuwa Serikali/DPP walikuwa wamedhamiria kukata rufaa katika kesi hii - mpaka leo hatujasikia lolote juu ya rufaa hiyo - usanii mwingine katika ofisi ya AG.
Ndo maana naipenda Jamiiforums kwa kuweka hoja na data kukumbushia historia ya utendaji wa serikali ya CCM na vyombo vyake vya dola.
Nafikiri safari hii serikali na chama 'tawala' CCM wamebana hatoki mtu hapa bila kufikishwa kwa Pilato na wengine kadhaa kuachia ngazi/bodi