only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Mwanasheria wa CHADEMA kamanda Lissu amesema kuwa si halali waziri kuunda tume maana hana mammlaka hiyo hasa kwenye matukio ya kifo zaidi ya raisi wa jamuhuri ya muungano. Amesema CHADEMA inashauri iundwe tume itakayokuwa na wajumbe ambao ni majaji wa mahakama kuu na si vinginevyo.
source:ITV
source:ITV