CHADEMA yamwekea pingamizi mgombea wa CCM Kalenga

Nimeisoma hiyo habari toka gazeti la Mwananchi, sababu ya kuwekewa pingamizi ni pamoja na mashaka juu ya Uraia wake, Kuto kutimiza mashariti katika ujazaji wa fomu, nasikia mgombea huyo amewachukua baadhi ya wadhamini kutoka nje ya jimbo husika, pia baadhi ya maelezo hayakuandikwa vizuri katika ujazaji wa fomu.

Mimi hapo naona kosa si la mgombea peke yake pia uongozi wa jimbo CCM kutakuwa na uzembe mkubwa, kwa nini hawakupata muda wa kuipitia fomu hiyo kabla haijarudishwa ? Ngoja tusubiri
 
Mwenye details zaidi amwage hapa kuliko hizo hadithi ndogondogo weka details kama huyo Mgimwa Jr
1. Alizaliwa wapi
2. Elimu yake, amesoma kitu gani hadi level gani
3. Amefanya kazi wapi
4. Hadi anachukua fomu ya kugombea ubunge alikuwa anaishi wapi na alikuwa akifanya nini

Naomba mwenye majibu haya tafadhari
 
Mkuu Tuko,
Jibu la maswali yako ni kwamba ndio unaruhusiwa kama unatoka jumuia ya madola.

Muhimu tu uwahi kusajili kabla ya muda wa kupiga kura ambao huwa kama mwezi mmoja kabla ya uchaguzi husika.

Asante kwa ufafanuzi mkuu...

Swali moja la nyongeza. Huko kuishi kuko defined? Ninachomaanisha ni kuwa kama upo Uingereza kwa student visa, tourist visa, visiting visa nk... je unaweza kuqualify katika kupiga kura au ni lazima uwe na residence? Na je hapo kwenye residence, ni lazima iwe permanent?

Asante..
 
Timing,
Sio kweli labda uliishi bila kujua sheria za nchi hii.

Public fund na right ya kupiga kura ni vitu viwili tofauti kabisa.

Public fund inatakiwa uwe na permanent residence au hati ya kuwa mkimbizi. Kupiga kura Kwa jumuia za madola requirement ni moja tu uwe ndani ya eneo husika na uwe umejiandikisha

NImeishi Uk,,,, kuwa muwazi zaidi sio kila mtu... ni lazma awe na priviledges za kupata public funds etc na awe na permanent resident au raia kamili

Je, what does PERMANENT RESIDENT mean?
 
Mwenye details zaidi amwage hapa kuliko hizo hadithi ndogondogo weka details kama huyo Mgimwa Jr
1. Alizaliwa wapi
2. Elimu yake, amesoma kitu gani hadi level gani
3. Amefanya kazi wapi
4. Hadi anachukua fomu ya kugombea ubunge alikuwa anaishi wapi na alikuwa akifanya nini

Naomba mwenye majibu haya tafadhari

That is classified information!......at least for now
 
Hivi hakuna anayemfahamu vizuri huyu Kijana?

Nikijua kwa mfano aliingia lini UK naweza kujua kama kuna uwezekano wa kuwa raia au la.

Sheria za UK ziko wazi sana na kwa kila kundi la wahamiaji na sio rahisi kuzipindisha.

Kwa mfano kwa sasa mtu hawezi kupata uraia bila kutimiza miaka 6 ya kuishi UK. Hiyo miaka haimo ile miaka ya kuishi kama mwanafunzi au mfanyakazi wa ubalozi.
 
Hivi chriss lukosi na yeye ni mpiga kura wa UK? au ni mhamiaji haramu?

Mwenye taarifa jamani!
 
Mwageni document hapa ili kuweka ushahidi wazi, fanyeni fasta fasta kabisa mpate data zake za uingereza ikiwemo pass ya kusafiria.
 
NImeishi Uk,,,, kuwa muwazi zaidi sio kila mtu... ni lazma awe na priviledges za kupata public funds etc na awe na permanent resident au raia kamili

Je, what does PERMANENT RESIDENT mean?

If you have unlimited leave to remain in the UK and you are free from immigration control than you are known as permanent resident of the United Kingdom.

For foreign nationals to become UK permanent resident they need to apply for permission to settle in the UK also known as indefinite leave to remain (ILR). A person who has indefinite leave to remain, visa status will be known as settled person.

Settled status is the most usual route to naturalisation or to become a British citizen. Settled status or Indefinite Leave to Remain (ILR) is also important where a child of non-British citizen parents is born in the UK, as unless at least one parent has settled status the child will not automatically be a British citizen.

Benefits of been a permanent resident

Indefinite Leave to Remain (ILR) gives the freedom to live and work in the UK without any restriction. Unlike people with Limited Leave to Remain (LTR) in United Kingdom, Indefinite Leave to Remain (ILR) holders do have access to public funds. The wordings "No recourse to public funds" is not written in ILR holders' visas. As a result, they are able to claim job seekers allowances and other benefits which are usually available to UK citizens.

ILR holders also pay Home Student (i.e. UK citizens) rates on educational institutions in UK. That is, they are not charged as international students like LTR visa holders - if they want to study courses in any UK institutions however, to be considered for home student fee; the individual most have lived in the UK above three years as a settled person or free from immigration control.

Aina ingine yoyote ya ukaazi yenye masharti basi huwezi kupata hayo ya hapo juu.
 
Mkuu Richard,
JF ilijijengea sifa kwasababu kuna watu wenye elimu zao na uzoefu wao waliamua kuvitumia hivyo vitu kuelemisha wengine. Pia wasiojua walikuwa tayari kutulia na kujifunza na kutumia elimu na uzoefu huo kwa faida zao.

Siku hizi limekuja kundi lingine ambalo halijui kitu lakini linajifanya linajua na linawadanganya maelfu ya wapenzi wao. Tena wanakuja na matusi kabisa ili kuwanyamazisha wanaojaribu kuwasaidia kwa kuwaonyesha ukweli.

Mwisho wa siku wote wanabaki kuwa wajinga. Post kama hii inaweza kuwafundisha sana vijana wanaosoma au wanaotaka kusoma UK ili wajue njia mbalimbali za kuishi vizuri kwenye nchi za watu. Lakini bahat mbaya ukifuatilia hii thread utagundua uwongo au kutokujua ni kwingi kuliko ukweli. Bahati mbaya pia kuna watu wengi wanaopigia vigelegele uwongo huo wakiamini ni ukweli.

Hilo ndio janga la mitandao isipotumiwa vizuri. Ujinga wa mtu mmoja unaweza kuwa multiplied kwa kuingizwa kwa mamia ya watu wengine ambao wanaamini uwongo au ujinga fulani kama ni ukweli.

Mkuu, taratibu mkuu wewe humfahamu Mtanzania yupo UK miaka nenda rudi.

Nami pia nipo UK miaka mingi tu na anachokiongea anafahamu.

Wewe muulize tu akufafanulie kwa kina ila tumia busara.
 
If you have unlimited leave to remain in the UK and you are free from immigration control than you are known as permanent resident of the United Kingdom.

For foreign nationals to become UK permanent resident they need to apply for permission to settle in the UK also known as indefinite leave to remain (ILR). A person who has indefinite leave to remain, visa status will be known as settled person.

Settled status is the most usual route to naturalisation or to become a British citizen. Settled status or Indefinite Leave to Remain (ILR) is also important where a child of non-British citizen parents is born in the UK, as unless at least one parent has settled status the child will not automatically be a British citizen.

Benefits of been a permanent resident

Indefinite Leave to Remain (ILR) gives the freedom to live and work in the UK without any restriction. Unlike people with Limited Leave to Remain (LTR) in United Kingdom, Indefinite Leave to Remain (ILR) holders do have access to public funds. The wordings "No recourse to public funds" is not written in ILR holders' visas. As a result, they are able to claim job seekers allowances and other benefits which are usually available to UK citizens.

ILR holders also pay Home Student (i.e. UK citizens) rates on educational institutions in UK. That is, they are not charged as international students like LTR visa holders - if they want to study courses in any UK institutions however, to be considered for home student fee; the individual most have lived in the UK above three years as a settled person or free from immigration control.

Aina ingine yoyote ya ukaazi yenye masharti basi huwezi kupata hayo ya hapo juu.
Thank you.... This is helpful

kwahiyo huyu kijana ni kama leticia nyerere style sio?
 
Timing,
Sio kweli labda uliishi bila kujua sheria za nchi hii.

Public fund na right ya kupiga kura ni vitu viwili tofauti kabisa.

Public fund inatakiwa uwe na permanent residence au hati ya kuwa mkimbizi. Kupiga kura Kwa jumuia za madola requirement ni moja tu uwe ndani ya eneo husika na uwe umejiandikisha
kwahiyo foreigners wanapiga kura kilaini tu uk bila hata vitambulisho vya aina fulani sio?
 
Tunapigania haki yake kwa njia hii, manake huku ndiko tunakokutana na mwizi wake. Tunaomba atusamehe kama tumemkwaza, lakini aturuhusu kuipigania haki yake bila kuchoka. Kris lukosi aone aibu.
Hiyo siyo njia sahihi hata kidogo, mnamdhalilisha na kumsononesha. It definitely childish.
 
Timing,
Sio foreigners maana hilo neno lina maana kubwa zaidi. Ni raia wa nchi za jumuia ya Madola. Mchina akiwa UK hata awe na permanent residence bado haruhusiwi kupiga kura.

Raia wa Jumuia za madola hapa wana rights nyingi ambazo raia wa nchi zingine hawana. Hii ni pamoja na kuruhusiwa kujiunga na jeshi pamoja na polisi na kazi zingine za serikali.

Wakenya na Wagana wamezitumia mno nafasi kama hizi. Watanzania wao wanakaa nchi za watu bila hata kujifunza sheria zao, hapo hata fursa wataziona kweli?
kwahiyo foreigners wanapiga kura kilaini tu uk bila hata vitambulisho vya aina fulani sio?
 
Nimeisoma hiyo habari toka gazeti la Mwananchi, sababu ya kuwekewa pingamizi ni pamoja na mashaka juu ya Uraia wake, Kuto kutimiza mashariti katika ujazaji wa fomu, nasikia mgombea huyo amewachukua baadhi ya wadhamini kutoka nje ya jimbo husika, pia baadhi ya maelezo hayakuandikwa vizuri katika ujazaji wa fomu.

Mimi hapo naona kosa si la mgombea peke yake pia uongozi wa jimbo CCM kutakuwa na uzembe mkubwa, kwa nini hawakupata muda wa kuipitia fomu hiyo kabla haijarudishwa ? Ngoja tusubiri

Viongozi wa ccm wengi hali ya uelewa ni ndogo sana! Mwenye ufahamu akitoka kidogo tu, wengine wanafanya madudu tu! Umeona mwenyekiti ambaye tena ni rais akishindwa kuchagua maneno ya kusema mbele ya Taifa na kuanza kuchochea kupigana?

Kama kweli kijana huyu kaishi London, wanaweza kuwa walidhani anajua sanaaa kuliko wao.
 
Back
Top Bottom