TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Timing,
Sio foreigners maana hilo neno lina maana kubwa zaidi. Ni raia wa nchi za jumuia ya Madola. Mchina akiwa UK hata awe na permanent residence bado haruhusiwi kupiga kura.
Raia wa Jumuia za madola hapa wana rights nyingi ambazo raia wa nchi zingine hawana. Hii ni pamoja na kuruhusiwa kujiunga na jeshi pamoja na polisi na kazi zingine za serikali.
Wakenya na Wagana wamezitumia mno nafasi kama hizi. Watanzania wao wanakaa nchi za watu bila hata kujifunza sheria zao, hapo hata fursa wataziona kweli?
hivi mkenya sio foreigner hapa kwetu?? hata kama ana residence permit??