Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Kwahiyo wewe unataka kuniambia Zanzibar yatatokea kama ya Libya?
Nyie walipoungana CCM na CUF kuondoa tofauti zao watu walikuwa hawazikani ndugu kwa ndugu si mulifirahi leo hii munasema CUF wameolewa na CCM,kwahiyo munataka turudi kuleee tuliko toka kama sio unafki ni nini?
Leo ndio munajifanya kujua kuna sehemu/nchi inaitwa ZnZ mulikuwa wapi kipindi chote hicho au mna agenda zenu za siri kutoka CDU?
Sikua na maana kua yaliyotokea Libya yatatoke Znz ila nilifurahi baada ya wewe kuniweka sawa na PANYA na ndio maana nikakushukuru kwa Hilo!
Eeeh! Sasa unajenga hoja nzuri na Km ungekua hivyo tangu mwanzo Wala tusingevutana!
Hizo hoja zako watakuja wanasiasa kukujibu lkn Kumbuka yaliyomkuta Morgan Tsvangirai Wa Zimbabwe na Amoro Odinga Wa Kenya baada ya kuunda serikali ya mseto chaguzi zilizofata walipigwa chini!