Km wameona kuna umuhimu Wa kua na mtu kwa nafasi hiyo kwa upande Wa Znz ni vizuri!
Mkurugenzi wa Habari wa CHADEMA John Mnyika ametangaza nafasi ya kazi kwa mtu yeyote Mzanzibar anayeweza kufanya kazi katika kurugenzi ya Mawasiliano na Mahusiano CHADEMA.
Mnyika amesema nafasi hiyo itatolewa kwa Mzanzibar yeyote atakayetimiza vigezo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.
Pia hii ni kuonyesha thamani ya Wazanzibar kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ambapo vigezo vyote vinaonyesha Watanzania wamejiandaa kukikabidhi dola 2015.
Mkurugenzi wa Habari wa CHADEMA John Mnyika ametangaza nafasi ya kazi kwa mtu yeyote Mzanzibar anayeweza kufanya kazi katika kurugenzi ya Mawasiliano na Mahusiano CHADEMA.
Mnyika amesema nafasi hiyo itatolewa kwa Mzanzibar yeyote atakayetimiza vigezo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.
Pia hii ni kuonyesha thamani ya Wazanzibar kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ambapo vigezo vyote vinaonyesha Watanzania wamejiandaa kukikabidhi dola 2015.
Ntuzu.
Mbona umekuwa mnafiki sana mimi hauwezi kunidanganya nakujua kuwa wewe ni mfuasi wa Lema na Chadema ukiwa muongo jaribu kuwa na kumbukumbu, ngoja ni dadavue kiduchu bayana zako.... hapa ulianza kujitoa ufahamu.
Hapa ukaanza kuonyesha rangi yako halisi unaaza kuwashambilia CCM.
Hapa unaaza kukusifia chama chako Chadema.
Hapa chini jisome...teh teh teh huyu ndiyo Ntuzu anayesema hana chama.
Hapa unawapa taarifa Chadema wenzako.
Huyu ndiyo Ntuzu hana chama teh teh teh.
Hapa unamsifia Lema ndiyo maana mwanzo nilikuuliza wewe ni mfuasi wa Lema ukajibi kihuni.
Hapa unaendelea kumsifia Lema ili mkono uende kinywani.
Ngoja niishie hapa... wabara CHAMVIGA Bill Cosby gombesugu.
:violin: