CHADEMA Yamwaga ajira Zanzibar.

CHADEMA Yamwaga ajira Zanzibar.

Status
Not open for further replies.
Ni jambo zuri, kwa mtazamo wangu wamechelewa kulifanya hilo na itawalazimu wafanye kazi ya ziada ikiwezekana saa 23 na dk50 kwa siku ili kupata uwiano mzuri kama huku Tanganyika.
 
Chadema ambayo kidogo ilikuwa inakubalika znz,ni ya J. Mapalala.
 
Hivi utasemaje kuwa chadema imemwaga ajira huku ukatangaza nafasi moja tu?
 
Mtangaze na za makao makuu hapo Ufipa pia kupitia JF!

Inaonesha kweli ZNZ mamboa magumu kwa CDM!
 
Wewe ndio sababu ya yote hayo! Kwasababu huwezi kujadili kwa hoja nzuri Zaidi ya kuleta udini ukanda na ukabila! Post yako moja Mods wameifuta ulikua umeropoka kweli Alafu unasema eti ndio ukweli!

Ona sasa unasababisha mpk Mods wanatukanwa! Sio vizuri hivyo Mkuu!

Badilika ndugu Sisi wote ni watz!
wala sio swala la kuficha tena, mods wa JF nao inaelekea wapo kwenye campaign ya kuwagawa watanzania kwa misingi ya udini, ukanda na ukabila ndo maana huyo bwabwa hawampi adhabu,
 
We ni ms,...ge lazma utukanwe kwanin unagawa watanzania kwa misingi ya ukabila na udini acha uchowe we mat....o

kuhus ukanda,udini na ukabila ndan ya chadema kwani mimi ndie wa kwanza kusema hayo??

Na ni dhambi kama tukikemea hali hiyo??

Ukiona mnakuwa wakali hivi basi ukweli umewachoma na mnaumia

TUTAZID KUKOMAA NA NYINYI
 
Inasikitisha sn! Badala ya kujadili vitu vya msingi mtu anakuja na hoja zake za ajabu ajabu!

Tumechoka na Siasa za ajabu ajabu!
 
Kiongozi wa chadema huyo halafu unategemea kupata wafuasi huku Zanzibar hayo matusi yenu pelekeni Tengeru tuachieni Zanzibar yetu.



Mkuu una jina zuri sn! Lkn Inasikitisha kuona na wewe unashiriki uongo huo! Simamia haki!
 
Nafikiri chadema ndio kinara wa usiniu na ukabila,kwani zitto kawakosea nini?



Mambo ya ZZK kawaulize viongozi Wa Cdm au mahakamani!

Na hiyo isiwe sababu ya nyie kueneza propaganda zenu chafu!

Mimi nawashangaa sn!
 
Mambo ya ZZK kawaulize viongozi Wa Cdm au mahakamani!

Na hiyo isiwe sababu ya nyie kueneza propaganda zenu chafu!

Mimi nawashangaa sn!

Khee! Leo imeshakuwa inshu ya kuwauliza viongozi na mahakama? Mmesahau mlikuwa nakesha hapa kumnanga zitto?kweli chadema kwisha habari yenu nyie 2015 mtaisikia bombani tu,
 
CHADEMA kama CHAUSTA uchaguzi wa serikali za mitaa watapata viti viwili tu, chama kipo hoi wamebaki kula ruzuku na mabibi zao

hapo kwenye CHADEMA weka CCM ndo wenye sifa zote hizo, ikiwa ni pamoja na Naibu katibu mkuu wake kukamatwa ugoni kule Igunga au unajifanya umesahau??
 
Khee! Leo imeshakuwa inshu ya kuwauliza viongozi na mahakama? Mmesahau mlikuwa nakesha hapa kumnanga zitto?kweli chadema kwisha habari yenu nyie 2015 mtaisikia bombani tu,


Hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho! Vyama vyote vitapita! Sasa kazi kwako!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom