nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
teh teh, zanzibar ni sawa na wilaya tu huku bara! Chadema wamefanya favor tu kwa zanzibar!Chadema wanaijuwa leo Zanzibar, hebu waangalie wamefanya nini cha maana katika Zanzibar tokea CDM iasisiwe?
Si walisema wao hawana hata mipango ya kampeni Zanzibar sababu hawaitambui Zanzibar kama jimbo la uchaguzi ukilinganisha na majimbo ya Bara.