CHADEMA Yamwaga ajira Zanzibar.

CHADEMA Yamwaga ajira Zanzibar.

Status
Not open for further replies.
Ni vizuri, chadema waanzishe m4c nchi nzima kwa maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa
 
Sehemu Yoyote akiingia Gogo aka Vima aka Choo kikubwa alias THE BIG CHOO lazima panuke! Ona sasa mda wote ana-mention ma-mods wakati yeye ndio anachafua mazingira kama Ban na wewe unastahili BAN.
 
Mkurugenzi wa Habari wa CHADEMA John Mnyika ametangaza nafasi ya kazi kwa mtu yeyote Mzanzibar anayeweza kufanya kazi katika kurugenzi ya Mawasiliano na Mahusiano CHADEMA.

Mnyika amesema nafasi hiyo itatolewa kwa Mzanzibar yeyote atakayetimiza vigezo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Pia hii ni kuonyesha thamani ya Wazanzibar kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ambapo vigezo vyote vinaonyesha Watanzania wamejiandaa kukikabidhi dola 2015.
Ndo tuseme mnataka kubalance udini makao makuu,7bu tunajua zenji atatoka shekh tu,
 
ndugu zangu wazanzibar mara zote tumesema kwamba cdm haiangalii tasbihi , rozali wala sigda , huu ndio wakati wenu , tuchangamkie hiyo FURSA .
 
M4C mmelala uchaguzi wa serikali za mitaa mwezi wa kumi sio mbali,wazee tuamke tuachane na Zitto kwani kwa sasa hana jipya.
Mtaondoka kwa aibu na mnalilia dola mm ninayo njoeni niwape hio 2015 mbona ni mbali
 
Molemo, mbona unafilisika kisiasa mdogo angu? Utahangaika sana.
umesema ajira zimemwagwa, mbona ajira yenyewe ni moja tu? Any way kule hamna akina mangi jaribuni baadaye
Kumwaga siyo lazima viwa vitu viwili ndiyo maana hata Gazeti la Habari leo liliandika Zito aimwaga chadema mahakamani.
 
Ukitoka kujua Limbwata si uchawi angalia vifaranga wa CDM
 
Mkurugenzi wa Habari wa CHADEMA John Mnyika ametangaza nafasi ya kazi kwa mtu yeyote Mzanzibar anayeweza kufanya kazi katika kurugenzi ya Mawasiliano na Mahusiano CHADEMA.

Mnyika amesema nafasi hiyo itatolewa kwa Mzanzibar yeyote atakayetimiza vigezo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar.

Pia hii ni kuonyesha thamani ya Wazanzibar kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo ambapo vigezo vyote vinaonyesha Watanzania wamejiandaa kukikabidhi dola 2015.

Chadema wanaijuwa leo Zanzibar, hebu waangalie wamefanya nini cha maana katika Zanzibar tokea CDM iasisiwe?

Si walisema wao hawana hata mipango ya kampeni Zanzibar sababu hawaitambui Zanzibar kama jimbo la uchaguzi ukilinganisha na majimbo ya Bara.
 
Nyie si ndio hua mnalalamikia MFUMO KRISTO? Mbona Mmekua vigeugeu? Mara ccm Na serikali yake ina mfumo Kristo Mara Cdm ni wadini wakabila?! Ivi ni nani aliyewaroga!!?
Wewe ni panya unang'ata na kupuliza Unajifanya muungwana kumbe hamna lolote hili li chama lenu la kikristo hatulitaki huku Zanzibar
 
Chadema wanaijuwa leo Zanzibar, hebu waangalie wamefanya nini cha maana katika Zanzibar tokea CDM iasisiwe?

Si walisema wao hawana hata mipango ya kampeni Zanzibar sababu hawaitambui Zanzibar kama jimbo la uchaguzi ukilinganisha na majimbo ya Bara.

Mkuu huyu kiazi Tundu Lissu si alisema muungano umevunjika siku nyingi sasa sijui kiherehere gani kinawasumbua huku hatutaki wanywa gongo
 
nafkiri munajishaua chadema badala ya kuonesha dharau jana kutohudhuria zile sherehe sasa munatapatapa chama cha kule kwa kina Mangi
 
Chadema wanaijuwa leo Zanzibar, hebu waangalie wamefanya nini cha maana katika Zanzibar tokea CDM iasisiwe?

Si walisema wao hawana hata mipango ya kampeni Zanzibar sababu hawaitambui Zanzibar kama jimbo la uchaguzi ukilinganisha na majimbo ya Bara.
Mkuu Khawarizm

Niliposoma kichwa cha habari cha huu uzi nikafungua kwa haraka kuona hizo ajira kumbe ni usanii tu. Si mwambie huyu jamaa yao huwa anakaa mbele na Mbowe kwenye kamati kuu awatafutie jamaa yake wampe hiyo ajira. Tundu Lissu alishasema Zanzibar ni kama jimbo la ubungo hawana shinda na Zanzibar kulikoni leo.
 
Last edited by a moderator:
"Chadema yamagwa ajira Zanzibar"

Sasa kama huu siyo ulaghai na siasa za magumashi ni nini.
 
Wewe ni panya unang'ata na kupuliza Unajifanya muungwana kumbe hamna lolote hili li chama lenu la kikristo hatulitaki huku Zanzibar


Nashukuru sn Mkuu lkn kauli zako ndiyo zinadhihirisha jinsi ulivyo!

Ata ccm haitakiwi Znz. Nimekaa Znz naielewa vizuri! Kwahiyo wewe ndio kigeugeu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom