Unajua wakati mwingine tuwe wazi na tutetee vitu kisomi...hii thread iliyoletwa haina mashiko,na haiaminiki hata kidogo..kesi ya Kiwanga na sylivester ni moja na chama kilikwisha wawekea wakili ambaye ni Tundu Lissu..Anapokuja mtu akaweka taarifa ya kikao cha tarehe ambayo hata hatujafika lazima uwe na shaka na uwezo wake wa kudanganya..na alipogundua hilo ameenda kubadili ili ifanane na mazingira ya uongo wake...huu ni upuuzi ambao unafaa kutetewa na watu wa magamba chini ya faizafoxy na Mwitaeni humu25...
Hivi wanajamvi ni wote mna mawazo kama haya yangu? ....kwamba Waberoya ni mmoja wa viongozi maarufu wa CHADEMA ambaye ana chuki na Wachaga?
Sasa usipoiponda ccm uponde nini?ukitaka kuonekana great thinker hapa jamii forums iponde ccm,,.
Kwani hiyo kesi si ya hadhara!.... au ni ya siri? as in not open for public.
Kama ni ya hadhara, je Tundu Lissu ashawahi kuhudhuria?.... and how did he drop the repertoire?
What's the status of that case as we speak right now?
Has the defense rest their case already or they are still making their case, or they haven't even started yet.
A retired judge? hmmmm!!!... looks like just another ex government official.
Hii hoja ina nguvu, mnaopinga mnaonyesha ushabiki bila points.
Kesi ipo au haipo?maswali mengi sana bana. We beba box huko kama huna source za taarifa za hili jambo.
Hili ni jambo kubwa kwa maana moja tu, aliyelileta hapa hajalileta kwa mapenzi yake kwa cdm wala suzan, amepata cha kuongea ...... Ndo kazi yake ..... Kapata cha kutoa kwenye public.
Tuna weye soon and very soon.
[/QUOTE]Ndugu,Kama uliweza kuhudhiria Kongamano lile maana yake u mwanachama wa CHADEMA.Na Kama ni mwanachama wa CHADEMA unayonafasi yankuyapeleka haya mahali panapostahili Na sio hapa kwa kuwa tuhuma hizi ni nzito kwa chama hasa Kama kweli kimesemwa Na Mbunge mwenzangu wa CHADEMA.Kuanza kukishambulia chama kwa kusikia habari zaupande mmoja sio sahihi.Andika and then tuma kwa Ofisi za Chama Makao Makuu kwa utekelezaji wa ulichokisema,si kila jambo ni la kuandika JF.
Nadhani nimeeleweka Kamanda!
=mpunumpunyenye;2962063]SIAJKURUPUKA
habari hii nimeithibitisha mimi mwenyewe, siku hiyo ya tarehe 7 majira ya saa 4 asubuhi tukiwa mimi, mbunge huyo susan,katibu wa chadema mkoa wa morogoro ambaye alikuwa diwani wa zamani wa matombo bwana luanda na malalamiko haya alikuwa akimweleza diwani huyo nje ya ukumbi wa bz hotel wakati tukiwasubiria wakufunzi wa semina hiyo kutoka dsm ambaye alikuwa katibu wa vijana mkoa wa dsm na mbunge wa ilemela bw kiwia, na alisisitiza kuwa "TUNDU LISU HANA MUDA WA KUCHEZEA KAENDA ZAKE ULAYA" . (kama kuhukumiwa nihukumiwe kwa kosa la umbea)
Tukisema CHADEMA kuna uchaga na ukanda mnabisha.nimesikitishwa sana na ubaguzi uliopo ndani ya chadema,hivi karibuni ktk harakati za chadema kuhakikisha kuwa wanashinda uchaguzi igunga, mbunge wa viti maalumu na wenzake walimdharilisha kwa kumvua hijabu mkuu wa wilaya igunga kwa kuhisi alikuwa anapigia kampeni ccm.mbunge huyo susan kiwanga amefikishwa mahakamani na wenzake kwa kosa hilo, mbunge huyo alikuwa akilalamika hayo muda mfupi kabla ya kuanza semina ya viongozi wa cdm tarehe 7/12/2011 mjini morogoro ktk ukumbi wa BZ hotel, namnukuu "nimetoka tabora kwenye kesi hivyo sikupata haya mafunzo, kesi yenyewe chama kimeniachia mwenyewe.. na hata wakili anayenitetea ni wa kujitolea na ni mzee sana hivyo huwa muda mrefu huwa anasinzia mahakamani kwa hiyo mambo ni magumu kwangu kwa upande wa kesi, unajua sisi wabunge ambao hatutoki kaskazini hatuthaminiwi kabisa ndani ya chama japokuwa mimi nilijitolea kuzunguka nchi nzima ktk kampeni za urais na slaa" . hata hivyo kuonyesha kukata tamaa kwa mbunge huyo hata alivyoingia ndani ya ukumbi wakati wa kujitambulisha alisema "huwezi kuwa kiongozi bila kufungwa" susan aliponda sana mfumo wa chama kuwajali hasa wabunge wa kichaga kama lema, kiwia ambaye ndiye alikuwa mkufunzi siku hiyo.
Jina lako linaendana na pupa zako, soma vizuri hiyo tarehe.Mkuu angalia hapo kwenye red. Hivi leo ni tarehe ngapi?
Mkuu angalia hapo kwenye red. Hivi leo ni tarehe ngapi?
Lifanyie kazi japo nina mashaka kama utaleta taarifa sahihi hapa.Kipindi anachozungumza mleta mada nilikutana na Suzan Kiwanga makao makuu na nikazungumza naye. Sijasikia malalamiko kama hayo kwake, wala kwa kiongozi ya yote wa makao makuu, japokuwa nilitumia muda mwingi pale kwa shughuli za kichama. Nina mashaka na ukweli wa jambo hilo.
sawa mkuu lakini tazama hoja na sio idadi ya hoja