Baada ya mkutano mkubwa uliohutubiwa na Makada wa CHADEMA, Kunti Yusuph, Josephat Isango, Mh. Anthony Komu na Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini Mzee Silvesta Masinde, Waziri wa Maliasili na utalii, Hamisi KAGASHEKI amerudi Jimboni ghfla na kesho anatarajiwa kujibu hoja zilizoibuliwa na CHADEMA, ikiwemo ya kutaka kuvunja soko la Bukoba mjini.
CCM wataondoka bungeni Kama mikutano ya CHADEMA ikiendelea.
CCM wataondoka bungeni Kama mikutano ya CHADEMA ikiendelea.