CHADEMA yalipuliwa


Mbona una-cherry pick habari?Katika mkutano huo Mtikila alitumia sehemu kubwa kuelezea namna Rais Kikwete alivyotumia vibaya nafasi yake kumwezesha mwanaye Ridhiwani kuwa bilionea wa kutupa.

Ila kwa vile una makengeza ya ubongo,umesikia habari za Chadema tu!
 
Mleteni Mtikila Tarime tumpopoe mawe tena...coz huwa hatutaki upuuzi. Kachanganyikiwa huyo!
 
Mtikila alikuja na kauli mbiu ya ugabachori,nyumba yake ya mikocheni ikatangazwa kuuzwa na NBC kutokana na deni alilokua akidaiwa.Wahindi wakamlipia deni tangu hapo sijamsikia tena neno gabachori mdomoni mwake!yani yeye ni pesa tuu umemmaliza
 

nimekuwa nikifuatilia topic zako na kugundua kuwa hazina tofauti na pumba za makamba na magamba yote ya ccm. Wewe umeona tu ni chadema imelipuliwa -lakini alivyolipuliwa mwenyekiti wa ccm , ridhiwan na ccm kwa ujumla haujaona? Kama ni kulipua basi mtikila kalipua ccm wanaodai wanavua magamba wakati ugonjwa wao ni satatani. Mtikila kaweka wazi kwamba ccm inakufa tena inakufa kama mtu aliyefumaniwa. Wewe mlengo wa kati unafiki wako hautaisadia hata siku moja taifa hili. Tusiandikie macho katika aliyongoa mtuikila tutaona lipi ni sahihi-ccm itaweza kumvua mapacha watatu? Matokeo ya kesi ya mtikila mahakamani-mbowe and ndesa ni wafanyabiashara sio mafisadi kama wezi waliojaa ccm. Acha unafiki na topic zako
 
kwani hawa jamaa wa cdm wana maana hawataki kuambiwa ukweli na bado mambo makubwa yatakuja hiki chama ni cha wanafiki leo hii mapacha watatu wamelukuwa ndugu moja na gazeti la tanzania daima
 
Duh Mtikila kapokea tena mshiko toka kwa Jeetu Patel? au safari hii kapata mfadhiri mwingine...
 

Aliongea kuhusu chadema na CCM na thread ina habari za CDM na CCM kwa pamoja aliyo yasema Mtikila! Au hutaki mambo ya CDM yasiguswe kabisa? Acha uoga wewe hii tabia ya CDM kuogopa kusemwa ina ashiria hamjiamini na kama mkija shika nchi mtafunga watu midomo kabisa!
 
Hivi zile hela ambazo Mtikila alipewa na Rostam ameshazirudisha?
 
Mti kilaza bana baada ya kutosikika muda mrefu,ameamua kuja na mpya tehe tehee!!ndio maana alipigwa mawe Tarime sababu ya porojozake.
 
Hivi zile hela ambazo Mtikila alipewa na Rostam ameshazirudisha?

Mbona alipokea pesa kutoka kwa mafisadi wa CCM Rostam Aziz, na leo anapotoa kauli hii ni ushahidi ameshapokea rushwa kutoka CCM.
Mtikila kinara wa rushwa
 

Uzuri mahakamani lazima utoe ushaidi. Tunasubiri kuona ushaidi wake mahakamani na hapo mbichi na mbivu itajulikana!
 

Nadhani hili lilisemwa Tabora na DR. Slaa, Rev. Mtikila kadandia tu hapo!
 
Mtikila he is only opportunistic and political idiot like Mrema lyatonga and Zitto Kabwe ..................free advise, Mtikila please keep quit your 1992 political legacy will remain .......
 
Tuliza akili zako kwanza ndugu yangu:- Ridhiwani Kikwete tajiri mkubwa - hiyo ni ishu separate, - utata wa kifo cha Mwanasiasa Chacha Wangwe (RIP) nayo ni ishu ingine ingawa mzungumzaji ni huyohuyo. Haihitaji uwe na digirii ili upambanue na sio lazima kwa kuwa umeunga mkono hoja ya Riz1 basi na ile ya CW uikubali eti kwa kuwa anayesema vile ni yuleyule. Wake up man, this is home of great thinkers!
 

Kweli shughuli ni watu, na imepata watu wenyewe!
Sasa ufisadi na Uislamu wapi na wapi? Who told you that Rostam Aziz is a Muslim? Au kwa kuwa ni Mwarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…