Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
kuna haja ya kumshauri hayo maneno yake akayoongelee kule Tarime kama ana uhakika nayo
mwenyekiti wa chama cha dp,mchungaji christopher mtikila amesema chadema hakipaswi kuaminiwa na watanzania kwa kuwa ni chama chenye mafisadi na wafanyabiashara haramu.
Pia amefananisha maneno yanayotolewa na katibu mkuu wa chadema dr wilbroad slaa kuwa ni sawa na yaliyokuwa yakitolewa na mmoja wa viongozi nchini uganda.
Mtikila aliyasema hayo jana wakati akiongea na wandishi wa habari ukumbi wa traventine, mtikila aliongeza kuwa "ni unafiki kwa viongozi wa chadema kujifanya ni wapambanaji wa ufisadi kwa kuwa chama chao chenyewe kimejaa ufisadi wa kutisha, ninakwenda kufungua kesi mahakama kuu dhidi ya kuwaonyesha ni jinsi gani walivyo hatari, kesi ninayo kwenda kufungua ina husiana na utata wa kifo cha mwanasiasa chacha wange nina ushahidi juu ya baadhi ya viongozi wa juu wa chadema kuhusika na mauaji hayo"alisema mtikila.
Aidha alisema kesi hiyo itahusisha na baadhi ya viongozi wa chadema kujishughulisha na biashara haramu na jambo hilo ni ufisadi. Kutokana na hali hiyo mtikila aliwataka wananchi kutafakari kuhusu utajiri wa kupindukia wa viongozi wawili wa chama hicho philemon ndesamburo na freeman mbowe.
mtikila alihoji na kubeza hatua ya ccm kujivua gamba akisema ccm ina mafisadi wengi na sio hao watatu tu. Kama kweli ccm wanataka kupambana na ufisadi wawatimuwe mafisadi wote ambao orodha yao ni ndefu!
Ahahaha!! leo ndio nimejua kumbe Pro-Chadema-JF wengi ni pumba, huyo Mtikila mmemsifia sana tena mmechukuwa maneno yake kama Reference kawambia Ridhiwan Kikwete Tajiri mkubwa tena mmechangia hiyo thread kwa kasi ya ajabu, saizi anawafahamisha ubaya wa Chadema mnakataa, Hongera Mtikila kwa kutujuza ukweli sisi wengine tulikuwa atujui
Mwenyekiti wa Chama cha DP,Mchungaji Christopher Mtikila amesema CHADEMA hakipaswi kuaminiwa na Watanzania kwa kuwa ni chama chenye mafisadi na Wafanyabiashara haramu.
Pia amefananisha maneno yanayotolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa kuwa ni sawa na yaliyokuwa yakitolewa na mmoja wa viongozi nchini Uganda.
Mtikila aliyasema hayo jana wakati akiongea na Wandishi wa habari Ukumbi wa Traventine, Mtikila aliongeza kuwa "ni unafiki kwa Viongozi wa CHADEMA kujifanya ni wapambanaji wa Ufisadi kwa kuwa chama chao chenyewe kimejaa ufisadi wa kutisha, ninakwenda kufungua kesi Mahakama Kuu dhidi ya kuwaonyesha ni jinsi gani walivyo hatari, kesi ninayo kwenda kufungua ina husiana na utata wa kifo cha Mwanasiasa Chacha Wange nina ushahidi juu ya baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema kuhusika na mauaji hayo"alisema Mtikila.
Aidha alisema kesi hiyo itahusisha na baadhi ya Viongozi wa Chadema kujishughulisha na biashara haramu na jambo hilo ni Ufisadi. Kutokana na hali hiyo Mtikila aliwataka wananchi kutafakari kuhusu utajiri wa kupindukia wa Viongozi wawili wa chama hicho Philemon Ndesamburo na Freeman Mbowe.
Mtikila alihoji na kubeza hatua ya CCM kujivua gamba akisema CCM ina mafisadi wengi na sio hao watatu tu. Kama kweli CCM wanataka kupambana na Ufisadi wawatimuwe mafisadi wote ambao orodha yao ni ndefu!
hacha kupandikiza udin wewe kama huna la kjsema ni bora kunyamaza na si kuropokahuyu mtikila ni miongoni mwa wapuuzi wengi tuu kwenye nchi yangu, kwanza yeye hatupendi kabisa sisi waislamu na ni kinyonga, sijui hapa yeye kapewa pesa na nani mbona anawatetea wagalatia tuu kuwa ndio wasafi ndani ya ccm? Kwani aliwataja sumaye, warioba etc mbaona hakumtaja salim, mwinyi etc ni mshenzi tuu wa kupuuzwa huyu hapa kuna jambo anataka kutuaminisha ili tumuone naye ni msafi,
arudishe fedha za muislamu mwenzetu rostam tukajenge madrasa kwa ajili ya allah, kwanza ndipo asikilizwe.
Mwisho wa siku mtaelewa maana ya hoja na mtaweza kujibu hoja, kuliko kuanza kutukana watu, pia kona ya matusi naomba iongezwe jamani maana imekosekana, wajaaliwa matusi wanajaa hapa kurusha matusi badala ya kujibu hoja...na hawataki kukosolewa....na sidhani ile chadema ninayoona majukwaani yenye maneno ya hisia vileee,ndiyo yenye hawa vilaza wachache walio humu kuropoka tuuuuu.....mbona mnyika,zitto,slaa,mdee n.k wanaweza kujenga na kusimamia hoja.....kwani nyie mnakaa wapi? basi waambieni wawatumie hata vitabu vya hotuba zao muweze kusoma na kuelewa kujibu hoja sio kama tambwe hizza,mnaaibisha chama nyie wapumbavu.
Mwisho wa siku mtaelewa maana ya hoja na mtaweza kujibu hoja, kuliko kuanza kutukana watu, pia kona ya matusi naomba iongezwe jamani maana imekosekana, wajaaliwa matusi wanajaa hapa kurusha matusi badala ya kujibu hoja...na hawataki kukosolewa....na sidhani ile chadema ninayoona majukwaani yenye maneno ya hisia vileee,ndiyo yenye hawa vilaza wachache walio humu kuropoka tuuuuu.....mbona mnyika,zitto,slaa,mdee n.k wanaweza kujenga na kusimamia hoja.....kwani nyie mnakaa wapi? basi waambieni wawatumie hata vitabu vya hotuba zao muweze kusoma na kuelewa kujibu hoja sio kama tambwe hizza,mnaaibisha chama nyie wapumbavu.
hamna kitu hapo!fika mahali na upime akili na uwezo wa kufikiria, hakuna binadamu asiefanya makosa. Haya anayosema mtikira chadema haipo, kumbuka kila chama kina wanachama na makosa, hapa mtikila anaposema hawaaminiki "anajikweza - thats false political statement" i don't think kama chadema wakimuunga mkono mtikila ni kwamba tunakubaliana na kila kitu anachosema" kama ingekuwa hivyo angeshajiunga na cdm. Mtikila amefanya mazuri mengi kwa taifa letu na poor strategic za kisiasa ni nyingi thats why he will never get 1% ya watanzania to vote for him. Chadema we are strong and continue to strive for the people. I am sorry to say "you are waiting for credibility somewhere and you can't fool nobady here" ccm mkae mkijua chadema sio nccr au mababu zetu enzi za uhuru, hakitakufa kwa njama zenu za kifisadi, we are better than that. Just want to share with you inawezekana hujanielewa bado, sorry for that.