mwenyekiti wa chama cha dp,mchungaji christopher mtikila amesema chadema hakipaswi kuaminiwa na watanzania kwa kuwa ni chama chenye mafisadi na wafanyabiashara haramu.
pia amefananisha maneno yanayotolewa na katibu mkuu wa chadema dr wilbroad slaa kuwa ni sawa na yaliyokuwa yakitolewa na mmoja wa viongozi nchini uganda.
mtikila aliyasema hayo jana wakati akiongea na wandishi wa habari ukumbi wa traventine, mtikila aliongeza kuwa "ni unafiki kwa viongozi wa chadema kujifanya ni wapambanaji wa ufisadi kwa kuwa chama chao chenyewe kimejaa ufisadi wa kutisha, ninakwenda kufungua kesi mahakama kuu dhidi ya kuwaonyesha ni jinsi gani walivyo hatari, kesi ninayo kwenda kufungua ina husiana na utata wa kifo cha mwanasiasa chacha wange nina ushahidi juu ya baadhi ya viongozi wa juu wa chadema kuhusika na mauaji hayo"alisema mtikila.
Aidha alisema kesi hiyo itahusisha na baadhi ya viongozi wa chadema kujishughulisha na biashara haramu na jambo hilo ni ufisadi. Kutokana na hali hiyo mtikila aliwataka wananchi kutafakari kuhusu utajiri wa kupindukia wa viongozi wawili wa chama hicho philemon ndesamburo na freeman mbowe.
Mtikila alihoji na kubeza hatua ya ccm kujivua gamba akisema ccm ina mafisadi wengi na sio hao watatu tu. Kama kweli ccm wanataka kupambana na ufisadi wawatimuwe mafisadi wote ambao orodha yao ni ndefu!
Kuhusu Mbowe ni ukweli mtupu!!jamaa yupo kisanii-sanii sana!me nashangaa chadema kuwa na mwenyekiti kama huyo!!mambo yote anayopigia kelele slaa yanamgusa mbowe moja kwa moja,mbowe ni fisadi hata mtu mwenye uelewa mdogo sana anafahamu hilo!!
Mkuu ritz!Ahahaha!! leo ndio nimejua kumbe Pro-Chadema-JF wengi ni pumba, huyo Mtikila mmemsifia sana tena mmechukuwa maneno yake kama Reference kawambia Ridhiwan Kikwete Tajiri mkubwa tena mmechangia hiyo thread kwa kasi ya ajabu, saizi anawafahamisha ubaya wa Chadema mnakataa, Hongera Mtikila kwa kutujuza ukweli sisi wengine tulikuwa atujui
Naomba wenye kumbukumbu wanikumbushe mjadala wa JF ni ya Chadema uliishia wapi, kwa sababu ninachoendelea kuona humu JF ni utetezi wa hali ya juu wa chochote kibaya kinachoihusu Chadema.
Halafu kama alivyo Lema (Ngumi mkononi), wachangiaji wengi walio upande wa CDM matusi yako nje nje hasa wanapoguswa kwenye hoja. Nimewahi ona CV kibao za viongozi wetu humu na wengine wengi wasiopendwa na CDM, lakini sijawahi ona CV ya BOC wetu (Mwenyekiti), nina wasiwasi na uwezo wake wa kiuongozi.
NB: CDM ikikuchukia basi ujue JF itakuchukia, Mwanahalisi watakuchukia, Tanzania Daima watakuchukia. I am still thinking whether CDM fits to take over this country or they are going to suck us.
Pia naombeni nikumbushwe kwa nini Zitto hakuachwa agombee umwenyekiti ashindwe kidemokrasia kama jina la chama (Chama Cha Demokrasia na Maendeleo lilivyo): WE ARE ADVOCATING WHAT WE ARE NOT.
Mbowe anajua hapendwi na wana CDM na for sure leo yeyote atakayegombea umwenyekiti vs Mbowe atamshinda Mbowe, hivyo anajaribu kutumia siasa za vitisho.
SalutationHonourableMember picture
First Name: KabweMiddle Name: ZuberiLast Name:ZittoMember Type:Constituency MemberConstituent: Kigoma KaskaziniPolitical Party: CHADEMAOffice Location: P.O.Box 325, KigomaOffice Phone: +255 713 730256Ext.: Office Fax: +255 22 2112538Office E-mail: Member Status: Date of Birth EDUCATIONSSchool Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevelKigoma Primary SchoolPrimary Education19841990PRIMARYKigoma Secondary SchoolO-Level Education19911994SECONDARYKibohehe Secondary SchoolO-Level Education19941995SECONDARYGalanos Secondary SchoolA-Level Education19961996HIGH SCHOOLUniversity of Dar es SalaamBA (Economics )19992003GRADUATEInwent -IHK, Bonn, Federal Republic of GermanyDegree in International Marketing 20032004GRADUATEUniversity of ZanzibarBBA19981999Tosamaganga Secondary School![]()
EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From DateTo DateMinistry of FinancePSU (NSA Support for Cotonou Agreement)Moderator2005Ministry of FinanceTanzania & Ministry of Trade & IndustriesEvent Manager2005IHK Bonn & TICTanzania (Business Mission to SIAL Pans)Project Manager20042004Chama Cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMADirector, Campaigns and Elections2004TodateFriedrich Ebert Foundation - FESProject Manager20042005Chama Cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMADirector , International Cooperation2003TodateTanzania Gender Network (TGNP)Training & Research Internship20022002National Youth Forum (NYF)Programme Officer20002002POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position FromToCHADEMATanzania Member of Parliament2005To dateCHADEMAMember of National Committee2003TodateDARUSOSecretary General20022003Tanzania Students Networking Programme (TSNP)Chief Executive Officer20012003
Linganisha kura yako na sifa za mtu; Ukabila Tuweke Pembeni
A-Level Education19971998HIGH SCHOOL
tutafakari utajiri wa kupindukia wa hawa viongozi umetokea wapi?
JAMBO LA KUANZIA NI JE PESA WAMETOA WAPI? WAMEKWIBA/ WANAFANYA BIASHARA HALALI NA KULIPA KODI STAHILI? DOES THEIR ACCUMULATED CAPITAL COME FROM NO. OF YEARS R/E? WAMEWAHI KUKOPA? DO THER RICHES PROPORTIONATE TO THEIR YEARS OF TOIL IN THEIR BIZ? MTIKILA AKIFAFANUA HAYO NDIO TUANZE UCHAMBUZI, OTHERWISE TIKLA AMEKULA MLUNGULA/ MZANDIKI
GENERAL Salutation Honourable Member picture
![]()
First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli Last Name: Mbowe Member Type:
Constituency Member Constituent: Hai Political Party: CHADEMA Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
EDUCATIONSSchool Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevelSecondary SchoolSecondary Education--HIGH SCHOOLCERTIFICATIONS Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpiresNo items on listEMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From DateTo DateBank of TanzaniaBank Officer--POLITICAL EXPERIENCE Ministry/Political Party/Location Position FromToNo items on listPUBLICATIONSDescription Published DateNo items on listSPECIAL SKILLSSkill Name or Description
Mkuu nadhani kukikosoa chama ni swala tofauti na kukejeri maamuzi ya chama. Sasa kwa mfano unapotoa hukumu ya kwamba Mbowe ni dikteta tayari umeshatoa hukumu ambayo sidhani hilo neno linatoa mwanya mzuri wa kujadili. Halafu nadhani tatizo mnalo nyie zaidi kwa sababu mnayapata majibu hapa hapa bila kuwasubiri wazee wa chama kama inavyotokea kwa CCM maanake hakuna kiongozi wala mwanaCCM JF mwenye habari za uhakika.Naomba wenye kumbukumbu wanikumbushe mjadala wa JF ni ya Chadema uliishia wapi, kwa sababu ninachoendelea kuona humu JF ni utetezi wa hali ya juu wa chochote kibaya kinachoihusu Chadema.
Halafu kama alivyo Lema (Ngumi mkononi), wachangiaji wengi walio upande wa CDM matusi yako nje nje hasa wanapoguswa kwenye hoja. Nimewahi ona CV kibao za viongozi wetu humu na wengine wengi wasiopendwa na CDM, lakini sijawahi ona CV ya BOC wetu (Mwenyekiti), nina wasiwasi na uwezo wake wa kiuongozi.
NB: CDM ikikuchukia basi ujue JF itakuchukia, Mwanahalisi watakuchukia, Tanzania Daima watakuchukia. I am still thinking whether CDM fits to take over this country or they are going to suck us.
Pia naombeni nikumbushwe kwa nini Zitto hakuachwa agombee umwenyekiti ashindwe kidemokrasia kama jina la chama (Chama Cha Demokrasia na Maendeleo lilivyo): WE ARE ADVOCATING WHAT WE ARE NOT.
Mbowe anajua hapendwi na wana CDM na for sure leo yeyote atakayegombea umwenyekiti vs Mbowe atamshinda Mbowe, hivyo anajaribu kutumia siasa za vitisho.