Chabruma, Lizaboni, Lilambo .....kwa msiojua hivi ni vijiji/mitaa ya songea kwa hiyo hizi ID zote ni za mtu 1 asiye na kazi mjini anayeishi kwa nguvu za keyboard mzee usisahau kufungua ID nyingine kwa jina la Kigonsera, mbinga na kuendelea hadi Mbamba bay
Nyie haohao mlikuwa mnasema kapigwa marufuku kukanyaga kigoma, sasa haohao mnasema kakodi vijana kumshangilia, unategemea nani atakueleweni na kukuamini kwa kauli hizi za ukigeugeu? Yaani aliye kupiga marufuku akubali umkodi! hiki ni kichekesho cha mwaka.
Jamani hebu tendeeni nchi hii mema kwa kuisaidia kupata angalau vyama viwili vya siasa vinavyo simamia maslahi ya wananchi wote hasa maskini na walalahoi. Hivi hata kama ndio mnaendesha maisha yenu kwa hizi propaganda mtapungukiwa nini kama mtafanya propaganda za kistarabu.
Kwa nini mnapanda uharibufu katika nchi hii? Ya wezekana wewe haikudhuru lakini huna ndugu? huna watoto? huna rafiki? Apandaye uharibifu hakika atavuna uharibifu hakuna mbadala wa hapo.
Someni maneno haya ya Mungu: Make it your aim to do what is right, not what is evil, so that you may live. Hebu tubuni mbadilike muisaidie hii nchi yetu kabla haija angamia.
View attachment 125214Hii ilikuwa kwenye mkutano huko Mbeya .....picha kama hizi sijui zilikuwa za ujenzi wa chama ama kitu gani.....
Mkuu, wachakachuaji wapo CHADEMA. Chezea Kilewo, Yeriko Na MIDA EIGHT wewe?
View attachment 125214Hii ilikuwa kwenye mkutano huko Mbeya .....picha kama hizi sijui zilikuwa za ujenzi wa chama ama kitu gani.....
Mkuu, wachakachuaji wapo CHADEMA. Chezea Kilewo, Yeriko Na MIDA EIGHT wewe?
Wadau, imedhihirika kuwa CHADEMA wamekuja na mbinu zile zile walizokuwa wanadai kuwa ni za CCM za kukodi malori kupeleka watu kwenye mikutano. Hayo yamejitokeza kwenye mkutano wa Dr Slaa uliofanyika huko Kahama mara baada ya babu Slaa kukosa watu wa kumpokea na kumshangilia hasa baada ya vijana wengi kutoridhishwa na maamuzi ya CC ya kumvua uanachama ZITTO KABWE. Imedhihirika pia kuwa hata huko Kigoma hali hiyo imejitokeza. Hii ni dhahiri kuwa CHADEMA sasa imeshakufa na tukio la kumvua uongozi ZITTO KABWE limekifanya chama hicho kukosa mvuto kwa vijana.
Nawasilisha.