Wengi wale walikufa kwa njaa baada ya Magufuli kutwaa Usukani, yuko mmoja aliitwa Laki Si Pesa na LizaboniIle buku saba iliishia wapi
Hapo ndipo pengo la February Makamba utaliona!!
Yes hata huyo MNEC ASAS yupo huko kimkakatiSisiemu sio chama cha siasa .
So hakiwezi kutawala mitandao
Ukiona MTU yupo ccm ujue yupo kimkakati tu.
Chadema wapiganie tu katiba na tume huru Ila ushindi ni uhakika.
Mjinga wewe chawa wa Lissu dikteta.Hoja ya kijinga
Uchawa umerasimishwa.
Kwi Kwi KwiMjinga wewe chawa wa Lissu dikteta.
Kabisa. Wanawategemea kina JOHN MREMA HahahahaHoja ya NO REFORMS NO ELECTION ni Hoja nzito sana yenye mashiko, CCM hapa wamebanwa mbavu, cosmetic Reforms zao zimepingwa kwa HOJA na Wananchi wanasema this time wako radhi kumwaga damu zao.
Hana tofauti na wale wanaosema . Daresay la nne la mkoloni ni sawa na form 6 ya leo. Hii ni hoja mfu inayotumiwa na watu ili kujifarijiHoja ya kijinga
John Mrema hakuamini kimbunga cha LISSU alifikiri LISSU hatoshinda 😁😆😂🤣 poor Mrema🤣Kabisa. Wanawategemea kina JOHN MREMA Hahahaha
Hapa ndipo mnakwama! Lugha za kuudhi ni dalili ya ulegevu wa kukabili hoja inayojadiliwa ! Kwa namna moja ama nyingine unaihujumu CDM kuwa haiwezi kujibu hoja za msingi!Hoja ya kijinga
Jamaa Ana muabudu mbowe badala ya mungu. Sijui alitaka mbowe akiongoze chama milele? Kuna yule muuza vitabu kule mbutu naye ni tatizo kabisaaaJohn Mrema hakuamini kimbunga cha LISSU alifikiri LISSU hatoshinda 😁😆😂🤣 poor Mrema🤣
Kama makala alivyoihujumu ccm kwa kuleta hoja za EBOLA au?Hapa ndipo mnakwama! Lugha za kuudhi ni dalili ya ulegevu wa kukabili hoja inayojadiliwa ! Kwa namna moja ama nyingine unaihujumu CDM kuwa haiwezi kujibu hoja za msingi!
Ujinga hauna jina lingineHapa ndipo mnakwama! Lugha za kuudhi ni dalili ya ulegevu wa kukabili hoja inayojadiliwa ! Kwa namna moja ama nyingine unaihujumu CDM kuwa haiwezi kujibu hoja za msingi!
jibu hoja kamandaHuna akili
Endelea kujichanganya....! Mtakuta mmeisha "mkosa mwana na Maji ya moto". Jengeni hoja zinazolenga kuwakwamua wananchi wote kutoka kwenye mikwamo ya kiuchumi kwa Mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla! Haya maneno ya kilaghai hayawezi kuwavusha.Kama makala alivyoihujumu ccm kwa kuleta hoja za EBOLA au?