Msalagambwe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 713
- 263
Si vijana tu,Wazee wa CCM nao hawako nyuma kwenye GRINI GADI
Ushakunywa arvs wewe gamba?Nasikia harufu ya virungu...
Lazima watii sheria bila shuruti zaidi ya hapo ni sheria inachukuwa mkondo wake.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) cha kaidi agizo la serikali la kusitisha mpango wake wa kuwapatia mafunzo vijana kwenye kikosi maalum kwa ajili ya kukilinda chama na jamii kwa ujumla.
source: Chanel 10
chadema maneno mengi tu, hawana issue kiivyo yale mabomu ya arusha wamesema wana ushahidi mbona hatuoni outcome yeyote??
Kwa iyo mkuu unataka kuniambia mpaka chadema ipate madaraka ndio iwashtaki hawo wahusika?? mumechemka sana ushahidi hauwezi kubadilika kama upo kweli wekeni hadharani Watanzania waujuwe.,Subiri wakati ukifika kila kitu kitawekwa wazi. Huo ushahidi unataka upelekwe/utolewe kwa nani ilhal akina Ing'hondu waliotajwa hadharani kushiriki katika kumteka na kumtesa Dr. Ulimboka wameendelea kulindwa na Serikali kama kuku anavyolinda vifaranga vyake. Akina Kamuhanda walioshiriki wazi kabisa kupanga na kumuua Mwangosi lakini Serikali ya Kikwete ndiyo imekuwa mbele kuwatunukia nishani na kuwapandisha vyeo.
Ushahidi ni kama madini yaliyo chini ya ardhi, unaweza kuharibiwa, kuundiwa utetezi ama kutumiwa ndivyo sivyo pale unapowekwa hadharani tu vinginevyo utabaki kuwa hazina inayoongezeka thamani kila uchao.
Kuna wazee wa miaka 70+ kwa mshangao wa wengi (familia, ndugu, jamaa na marafiki), wanashtakiwa sasa na wengine wamehukumiwa kwenda jela kutumikia vifungo kwa makosa waliyofanya miaka ya 60 na 70 na yote hayo yanafanyika kutokana na ushahidi uliotunzwa vyema ukisubiri muda na wakati sahihi wa kutolewa kwake.
Mwenyezi Mungu akitujalia uzima tutakuja kushuhudia watu wakipelekwa mahakamani kwa machela na wengine wakijongoja wenyewe kwa mkongojo kwa yale wanayoyafanya sasa.
Even if you believe in SHIT!!!!!!!Sometimes you should stand to what you believe if you turn your mind people will mock you around.
Umna gani unaouongelea?????????Muulize "MPUM BAVU" nini maana ya NGUVU YA UMMA anafahamu vizuri, yeye ni waziri mkuu tu! Gaddafi alikuwa Rais wa Libya na NGUVU YA UMMA ilimtoa!
Yaani JWTZ ijiandae kupambana na Red Brigade badala ya kujiandaa kupambana na majeshi ya Kagame, Only In Tanzania.JWTZ ianze mazoezi mepesi, haiwezekani aman ya nchi ichezewe kiasi hiki.
Kwa iyo mkuu unataka kuniambia mpaka chadema ipate madaraka ndio iwashtaki hawo wahusika?? mumechemka sana ushahidi hauwezi kubadilika kama upo kweli wekeni hadharani Watanzania waujuwe.,