CHADEMA yakaidi agizo la serikali

CHADEMA yakaidi agizo la serikali

mimi red bregade wa moyoni!
Sihitaji silaha kuilinda chadema!
 
View attachment 102026 mafunzo ye green guard .....wengine ndio sisi hapana go on cdm tumechoka na sisi.

Mmmh ndio maana Wabunge wa CHADEMA waliogopa kwenda JKT kwasababu ya hili gaidi.Fikiria ndio linakujua wewe ni CHADEMA halafu mko wawili tu polini si litakumaliza hili!!!??Hata mimi nisingeenda.Nani hataki kuishi.
 
kujilinda ni haki ya kikatiba , wala haihitaji hisani ya mtu yoyote , cdm endeleeni na mipango yenu ya kiusalama , maana usalama kwanza mengine baadaye , tuko tayari kwa michango ya hali na mali .
 
Hawajakaidi bali ni haki yao kama raia kujilinda. Sasa inategemea anayesema wamekiuka sheria anabase wapi. Hivi inawezekana kweli police wakalinda kila kitu? Haiwezekani. So jamaa wanataka kujihakikishia ulinzi wao private shida iko wapu? Kwani wewe ukiweka kikosi cha kukulinda unabidi uende police kuomba kibali? Hawa Police wakorofi wanalazimisha watu wafanye makosa. Nadhani wamegundulika.
 
lazima chama kiwe na ulinzi wa kutosha na hakiwezi kurudishwa nyuma na narrow minded dhaifu na lameck shit

thats positive mind.....siku zote upo makini sana mkuu
 
RB ndo mpango mzima! chama na watu wake lazima walindwe ! hadi kieleweke.
 
Lazima watii sheria bila shuruti zaidi ya hapo ni sheria inachukuwa mkondo wake.

Imeshindwa kuchukua mkondo kwenye green guard itawezaje kwenye red.
 
Kwa picha ya hapo juu mtu mmoja anapigwa na umati huo lazima CHADEMA ijilinde
 
Muulize "MPUM BAVU" nini maana ya NGUVU YA UMMA anafahamu vizuri, yeye ni waziri mkuu tu! Gaddafi alikuwa Rais wa Libya na NGUVU YA UMMA ilimtoa!
 
Kwani green guards wapo na kazi zao ni zipi?.Kwa nini Serikali ina wasi wasi kiasi hichi wakati pana makampuni ya ulinzi kibao yanayomiliki silaha za kivita?..
 
Haijakaidi ila argument ipo wazi kuwa CCM nao wanajeshi ila wanaliona la CHADEMA tu ndio tishio.
 
Back
Top Bottom