Magurudumu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,748
- 490
Muulize "MPUM BAVU" nini maana ya NGUVU YA UMMA anafahamu vizuri, yeye ni waziri mkuu tu! Gaddafi alikuwa Rais wa Libya na NGUVU YA UMMA ilimtoa!
Tanzania hakuna nguvu ya umma, kama unaitegemea hiyo usahau ushindi 2015. Jiografia ya Tanzania na asili ya watanzania kuwa wanafiki, wasiopendana vinawafanya wagawanyike kiasi cha wao kutokuwa na sifa za nguvu ya umaa.