View attachment 102026 mafunzo ye green guard .....wengine ndio sisi hapana go on cdm tumechoka na sisi.
Watii sheria ipi tena mkuu?hebu tuwekee hiyo sheria hapa tujiridhisheLazima watii sheria bila shuruti zaidi ya hapo ni sheria inachukuwa mkondo wake.
chadema chonde chonde msituvurugie amani ya hii nchi
una maana gani ?
Mwigulu balaa aisee.../
Unamaanisha wapigwe tu kama alivyosema yule --------?Lazima watii sheria bila shuruti zaidi ya hapo ni sheria inachukuwa mkondo wake.
View attachment 102026 mafunzo ye green guard .....wengine ndio sisi hapana go on cdm tumechoka na sisi.
Lazima watii sheria bila shuruti zaidi ya hapo ni sheria inachukuwa mkondo wake.
Lazima watii sheria bila shuruti zaidi ya hapo ni sheria inachukuwa mkondo wake.
Bila shaka mtaanza na hawa hapa, au siyo wapenda amani ya kinafiki.